wiseboy
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 2,931
- 3,299
Hbr wakuu, mm nina second upper class toka SUA, nataka kuchukua master in aquaculture, ombi langu kwenu mnisaidie jinsi ya kupata sponsors, nina maana nisaidiwe tips za kufuata ili nipate sponsors wa hyo kozi, sina idea ya vitu vya kufuata hd kufikia lengo...shukran