MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,848
- 6,178
Heshima kwenu brothers and sisters.
Nimenunua hiyo Tablet India wakati nipo kule nilikua natumia line ya Tata network kampuni ya kule kwa ajili ya internet.
Sasa nimerudi nyumbani Tanzania nimeweka line za Tigo na Voda kwa ajili ya kupata 3g network inakataa ku connect hadi niset Apn.
Sasa wadau mnaojua naomba mnisaidie nijaze nini kwenye hizi sehem
1.Name................
2.Apn.................
3.Proxy..................
4.Port.................
5.User name.............
6.Password..............
7.Server..............
8.MMSC..........
9.MMS PROXY........
10. MMS port........
11. MCC.........
12. MNC ........
Naombeni msaada maana nimejaribu ku google imenishinda wakati nipo kule ilikuwa inafanya kazi vizuri tena kwa spidi ya ajabu. Sasa hizo setting mi naona nyota maana na sio locked inatumia simcard yeyote lakini hadi ujaze hizo apn sawasawa
Nimenunua hiyo Tablet India wakati nipo kule nilikua natumia line ya Tata network kampuni ya kule kwa ajili ya internet.
Sasa nimerudi nyumbani Tanzania nimeweka line za Tigo na Voda kwa ajili ya kupata 3g network inakataa ku connect hadi niset Apn.
Sasa wadau mnaojua naomba mnisaidie nijaze nini kwenye hizi sehem
1.Name................
2.Apn.................
3.Proxy..................
4.Port.................
5.User name.............
6.Password..............
7.Server..............
8.MMSC..........
9.MMS PROXY........
10. MMS port........
11. MCC.........
12. MNC ........
Naombeni msaada maana nimejaribu ku google imenishinda wakati nipo kule ilikuwa inafanya kazi vizuri tena kwa spidi ya ajabu. Sasa hizo setting mi naona nyota maana na sio locked inatumia simcard yeyote lakini hadi ujaze hizo apn sawasawa