Mbaliche
JF-Expert Member
- Jul 6, 2011
- 294
- 61
Jf members naomba msaada kwa yeyote anae jua ha2a za kusajiri kikundi cha ujasilia mali, 2meungana vijana 10 ambao 2nachimba visima,ujenzi wa nyumba, umeme wa solar, na kuvuta maji machafu ktka vyoo ambavyo vipo sehemu ambazo hazifikiwi na magari ya maji taka. jf ni kila ki2 halikwami jambo.