Wadau dish langu limepoteza frequency kabisa kwasababu ya upepo na mvua za jana,yeyote mwenye ujuz huo! Maana mafund wa DSTV cku hiz wanataka sana pesa!
Kwa kawaida dstv huwa aipotezi fregwens. Kama zimepotea we zima na ukiwasha tena fregwens zinaludi zenyewe. Au dish lako limepoteza huelekeo ? Kama frengesi ni hizi 12245h27500. Kama imepoteza huelekeo unatakiwa uwe na risiva ya kawaida weka izo fregwens hapo juu kisha zungusha dish kuelekea juu au chini au kushoto kulia mpaka upate signal kama umepata ludisha dekoda yako ufuraie picha. Ila lazima ukomae sio rahisi kiivyo
Hapa duniani tunaishi kwa kutegemeana mkuu hata wewe kwa nafasi yako unategemewa na wengine kwa hiyo we muite fundi akurudishe ktk ulimwengu wa burudani bahati mbaya niko mbali nawe hiyo ni kazi ya dakika sifuri tu.
sasa kaka mtu yeyote unayemjua ambaye yupo karibu lkn bei ciyo kubwa sana.