Wanajamvi, nimeona niwapatie update ya yule mgonjwa wangu.
Pale Muhimbili alipigwa zile za nenda rudi kwa takribani miezi 6, kilichokuwa kinafanyika ni kupasua uvimbe leo hapa next time pengine. Tukaomba mgonjwa afanyiwe full blood picture, tukapeleka majibu nje ya nchi, tukaletewa repoti mgonjwa ana cancer ya damu. To cut the long story short, mgonjwa alipelekwa huko majibu yalikosomwa na ameshaanza Chemotherapy, tunashukuru Mungu anaendelea vizuri. Ahsanteni kwa ushauri.
Wanajamvi, nimeona niwapatie update ya yule mgonjwa wangu.
Pale Muhimbili alipigwa zile za nenda rudi kwa takribani miezi 6, kilichokuwa kinafanyika ni kupasua uvimbe leo hapa next time pengine. Tukaomba mgonjwa afanyiwe full blood picture, tukapeleka majibu nje ya nchi, tukaletewa repoti mgonjwa ana cancer ya damu. To cut the long story short, mgonjwa alipelekwa huko majibu yalikosomwa na ameshaanza Chemotherapy, tunashukuru Mungu anaendelea vizuri. Ahsanteni kwa ushauri.
Pia pale magomeni mikumi nyuma ya yule mtabiri maarufu kuna Dr mmasai wa MNH ana clinic ya ENT
Huyo anaitwa Prof Ole na klinik yake inatwa EKENYWA
MNDEE kweli hakuna mtu Muhimbili aliyekwambia fanya Peripheral Blood Smear (Naamini sio Full Blood Picture, maana FBP hata daktari msaidizi anaweza isoma) mpaka ukaipeleka nje? Au ndiyo zile style za kutibiwa corridor na madaktari uchwara? Kuna Hematologists wazuri sana pale Muhimbili waliosoma ndani na nje ya nchi. Akina Rwehabura et al.Wanajamvi, nimeona niwapatie update ya yule mgonjwa wangu.
Pale Muhimbili alipigwa zile za nenda rudi kwa takribani miezi 6, kilichokuwa kinafanyika ni kupasua uvimbe leo hapa next time pengine. Tukaomba mgonjwa afanyiwe full blood picture, tukapeleka majibu nje ya nchi, tukaletewa repoti mgonjwa ana cancer ya damu. To cut the long story short, mgonjwa alipelekwa huko majibu yalikosomwa na ameshaanza Chemotherapy, tunashukuru Mungu anaendelea vizuri. Ahsanteni kwa ushauri.