vanmedy
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 2,698
- 1,395
guys naombeni msaada wa dhati...nlijaribu kuifanyia hard resett simu yangu NOKIA C7 na ikanitaka niweke passkey (nkaweka za nokia 12345,00000) ilinipa only 5 attempts..bad luck zikakataa zote.. na nlivyoiwasa simu baadae..IKAJILOCK na inataka key ..N:B hii simu nlinunua kwa mtu sina historia ya previous used passcodes... siwezi kuitumia simu yangu... niko mkoa na mafundi wa huku wanataka elfu50 kuiflash...PLZ HEEEEELP SINA AMANI YA MOYO KABSAAA
IMEI NO:355960042617825
IMEI NO:355960042617825