Dio
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 1,274
- 158
Kuna ubishi ambao umetokea leo hapa mtaani kuhusu chuo cha dodoma (udom)
eti wengne wanadai kajenga Bill gate na wengne wanadai kuwa ni mtoto wa mfalme wa Oman kajenga kulipa fadhila baada ya kuchukua wanyama kupeleka kwao,je jamani naombeni kujua kuhusu chuo cha Dodoma.
eti wengne wanadai kajenga Bill gate na wengne wanadai kuwa ni mtoto wa mfalme wa Oman kajenga kulipa fadhila baada ya kuchukua wanyama kupeleka kwao,je jamani naombeni kujua kuhusu chuo cha Dodoma.