hutaweza i think maana kuregister ni bure there is no reason wao wakubali card zisizo registered
Nilikuwa nimeregister, lakini inaonesha verification itakamilika within 5~7 working days. Nina urgent issue,kusubiri 5~7 days ni issue zaidi ya issue.
Nilikuwa nimeregister, lakini inaonesha verification itakamilika within 5~7 working days. Nina urgent issue,kusubiri 5~7 days ni issue zaidi ya issue.
wewe ndo unampoteza ukiregister utaambiwa ueke details za kadi yako then ukieka baada ya siku 2 au 3 ndo statement ya benki inatoka upate verification codeWacha uongo uki-register na kuweka vikolombwezo vyote huwa ni hapo kwa hapo, labda inategemea upo nchi gani. Sorry mate.
Wacha uongo uki-register na kuweka vikolombwezo vyote huwa ni hapo kwa hapo, labda inategemea upo nchi gani. Sorry mate.
wewe ndo unampoteza ukiregister utaambiwa ueke details za kadi yako then ukieka baada ya siku 2 au 3 ndo statement ya benki inatoka upate verification code
tena sometime kuna wakati kama huja activate visa/master card na manunuzi ya online inabidi u activate kwanza hii nayo ni one day
so kwa uchache ni siku 3 na ikiangukia weeken ni 5 na kwa mtu ambaye hayuko fasta why zisifike 7
how do you activate internet/online banking?
Mkuu usikurupuke .... ...... ''labda inategemea upo nchi gani.''
Pole sana! Nina uhakika umeisajili kadi yako kwa paypal, sasa Hiyo verication code inapatika katika Benk yako! Nenda sehemu wanayotoa kadi waambie wakupe verification code! Then utaiingiza kwenye space inaposema enter verification code (4 digits) then kadi yako italink na paypal akaunti. Nenda na card yako bank!
Sent from my BlackBerry 9300 using Jambo Adverts Tanzania Networks.
Sina paypal account, je nawezaje kutuma fedha kutoka account yangu ya bank kwenda account ya paypal?
Pole sana! Nina uhakika umeisajili kadi yako kwa paypal, sasa Hiyo verication code inapatika katika Benk yako! Nenda sehemu wanayotoa kadi waambie wakupe verification code! Then utaiingiza kwenye space inaposema enter verification code (4 digits) then kadi yako italink na paypal akaunti. Nenda na card yako bank!
Sent from my BlackBerry 9300 using Jambo Adverts Tanzania Networks.
Samahani wakuu, tuhabarishane tafadhali; ni Benki gani kwa hapa TZ zenye huduma hii ya Paypal?Bank zetu bado sana manaake huyo customer care ukimwambia naomba verification codes za paypal hata hajui. Me walinisumbua mpaka nikakasirika nikawaambia wafunge account yangu na nikahamisha hela zangu zote kwenda bank nyingine muda huo huo.
Sent from my BlackBerry 9930 using JamiiForums
chief-mkwawa Joendu85 wakuu naona mna uzoefu na paypal...nilikuwa refunded ebay sasa shida ikaja hela haijaingia kwenye my bank account ila inaonyesha kuwa transaction successful. Mmeshawahi kutana na issue kama hii?
bank haitoi huduma ya paypal, ni wewe unakwenda site ya paypal unajisajili, but make sure kadi yako ni masterkadi au visakadiSamahani wakuu, tuhabarishane tafadhali; ni Benki gani kwa hapa TZ zenye huduma hii ya Paypal?
ukiwa refunded pesa inakuja kwa akaunti yako, but not immideately ni after 3-5 dayschief-mkwawa Joendu85 wakuu naona mna uzoefu na paypal...nilikuwa refunded ebay sasa shida ikaja hela haijaingia kwenye my bank account ila inaonyesha kuwa transaction successful. Mmeshawahi kutana na issue kama hii?