Charles Elias
Member
- Aug 14, 2012
- 61
- 4
Jaman m nko admitted DUCE na nmepewa mil. 3.1 mkopo ila fee n mil. 1.3,ambayo n kama asilimia 57.9 hv!! Sasa hicho kiasi kinachobaki tunatakiwa kuwa nacho wakati wa kuripot au tutakipeleka semster Ya II?? Naomba msaada wa maelekezo juu ya hilo wanajamvi!