Msaada kuhusu kuangalia loan status HESLB

Coster1

Member
Jul 19, 2016
48
11
CaptchaSecurityImages.php

Naomba mnisaidie namna ya kuandika hii security code kila nikiandika naambiwa sio sahihi.
Ahsante
 
bora na wewe umeona hyo issue,mimi sio kuandika nimecopy na kupest still haitaki,but i think ni kwa sababu muda wa kuchek haujafika koz mimi mwanzoni kabsa baada ya kutuma maombi niliingia kwenye loan status na ilikubali lakin baada ya muda ikakataa.
so muda ukifka itakubali
 
bora na wewe umeona hyo issue,mimi sio kuandika nimecopy na kupest still haitaki,but i think ni kwa sababu muda wa kuchek haujafika koz mimi mwanzoni kabsa baada ya kutuma maombi niliingia kwenye loan status na ilikubali lakin baada ya muda ikakataa.
so muda ukifka itakubali
Nyie mmetuma maombi lini hadi muone loan status???
 
Back
Top Bottom