umeeka mpka huo mshazari wa mwisho????
Naomba mnisaidie namna ya kuandika hii security code kila nikiandika naambiwa sio sahihi.
Ahsante
kama umezingatia ukubwa na udogo wa herufi vizuri jaribu kuupotezea uoneNdiyo nimeweka ila inazingua
ukifika herufi ya mwisho hyo k ruka nafasi na andika / ...
Naomba mnisaidie namna ya kuandika hii security code kila nikiandika naambiwa sio sahihi.
Ahsante
usiweke hako ka /Iyo ya mwisho / ndo yani sielewi
Nyie mmetuma maombi lini hadi muone loan status???bora na wewe umeona hyo issue,mimi sio kuandika nimecopy na kupest still haitaki,but i think ni kwa sababu muda wa kuchek haujafika koz mimi mwanzoni kabsa baada ya kutuma maombi niliingia kwenye loan status na ilikubali lakin baada ya muda ikakataa.
so muda ukifka itakubali
Nyie mmetuma maombi lini hadi muone loan status???[/QUOTE
una maana gani mbona sjakuelewa
yaani huna taarifa juu ya maombi ya mikopo,
kwa bahati mbaya muda umeisha