Msaada kuhusu kuacha kazi 24 hours notice

Sheria na mkataba sijui kama kipi kina nguvu zaidi. Nimeona contracts zingine mwajiri anataka notice ya 3 months ama 1 month salary in case of 24 hrs notice. Mingine inataka one month notice. Nadhani inategemea na umuhimu wa position.
Umewahi kutana na mkataba unakuambia 'unategemewa kuwepo nasi walau kwa miaka 5, otherwise utarudisha gharama zote za trainings ulizopelekwa ikiwemo usafiri na malazi!' Huwa namshangaa sana mtu asiyesoma mkataba kabla ya kusaini!
Sawa, lakini sheria ya kazi (at least iliyowekwa hapa) haim-mandate mwajiriwa kumlipa mwajiri wake endapo ataacha kazi ghafla.
 
sheria gani? onyesha mstari wa sheria unaosema uki quit kazi utatakiwa kumlipa mwajiri mshahara.

Waaaapi hapo? Ni wapi sheria imesema mwajiriwa ana hiari ya kumlipa mwajiri mshahara?

Wewe mwenyewe bwashee huoni kwamba hicho mnachokisema haki make sense na hakiwezi kuwekwa kwenye sheria? Nani atafanya "hiari" ya kumlipa mwajiri hela maisha haya?

Mugglin 'anadhani' kwa hiyo hana hakika, which is 'ok' maana hajatudanganya.

Bwashee sheria ndiyo inayotupa mwongozo kuandika hiyo mikataba yetu. Mikataba inaandikwa isiende kinyume na sheria na mwajiri kwani anakatazwa kuweka vipengele vya namna hiyo kwenye mkataba so long as havunji sheria husika?

Kwa nini wewe ulipwe mshahara wa mwezi endapo mwajiri hajakupa notisi?
 
Sheria na mkataba sijui kama kipi kina nguvu zaidi. Nimeona contracts zingine mwajiri anataka notice ya 3 months ama 1 month salary in case of 24 hrs notice. Mingine inataka one month notice. Nadhani inategemea na umuhimu wa position.
Umewahi kutana na mkataba unakuambia 'unategemewa kuwepo nasi walau kwa miaka 5, otherwise utarudisha gharama zote za trainings ulizopelekwa ikiwemo usafiri na malazi!' Huwa namshangaa sana mtu asiyesoma mkataba kabla ya kusaini!

Nijuavyo mimi ni lazima mkataba uwe within the confines of the governing law(s).

But it is wise to read the fine print before you sign any contract.
 
  • Thanks
Reactions: bht
Unaelewa matumizi ya neno 'nadhani'? Well, I am not sure ni kipengele gani haswa.
Kwa hiyo hujui!

Tunatafuta facts hapa, sio 'nadhani.'

Swali kwako, sheria inasemaje kama muajiri anaweza akakupa summary dismisal (NADHANI hii ndo kama 24 hrs or less notice ya muajiri...) Bila kukulipa? Like unaenda ofisini asubuhi na kurudi huna kazi?
"sheria inasemaje kama muajiri anaweza akakupa summary dismisal Bila kukulipa?" ...

Sielewi hicho kiswahili cha swali lako, ni kibovu.
 
Kwa hiyo hujui!

Tunatafuta facts hapa, sio 'nadhani.'

"sheria inasemaje kama muajiri anaweza akakupa summary dismisal Bila kukulipa?" ...

Sielewi hicho kiswahili cha swali lako, ni kibovu.
Sheria hairuhusu summary dismisal
 
Bwashee sheria ndiyo inayotupa mwongozo kuandika hiyo mikataba yetu
Sheria ipiiii? Mbona hamsemi? hahahahahahahah....

Kama hunayo sheria ya mahusiano ya kazi hii hapa. Ukisema kitu kipo kwenye sheria usione uvivu kukitafuta humo kuthibitisha Bwashee.

Kwa nini wewe ulipwe mshahara wa mwezi endapo mwajiri hajakupa notisi?
nadhani ulimaanisha kusema "kwa nini ulipwe mshahara wa mwezi endapo hujampa mwajiri notisi." Vinginevyo hau make sense.

Na jibu lake ni kwamba kama hamkukubaliana mambo ya notisi kwa mkataba basi sheria inachukua mkondo, na sheria, kwa mara ya mia nne sasa narudia, sheria haisemi usipotoa notisi utamlipa mwajiri mshahara.
 
@ Anhauser

Bht anakusidia kusema kuwa kama Mwajiri hatakupa notisi ya kukuachisha kazi katika kipindi kilichoainishwa na sheria, "anaweza" [may] kukulipa ujira Muajiriwa.

Kwa nini sheria itoe muongozo huo?
Na nini mantiki ya muongozo huo wa kisheria?

Na kwa mantiki hiyo hiyo kwanini Mwajiriwa asimlipe Mwajiri akiacha kazi bila notisi?
 
  • Thanks
Reactions: bht
Bwashee nimesema 'sheria' (ofcoz kwa hapa ni ya kazi na nyingi zinazohusiana na hilo) ndiyo inatuongoza nini kiwepo kwenye mkataba. Kwamba hata kama tunazungumzia idara nyengine ni lazima sheria husika ndio itatoa mwongozo nini kifanyike. (mfano hata wakati wa kutuandika subsidiary legislation, si ni lazima isipingane na sheria husika)

Hujajibu swali langu shemeji, unapotezea sio!
Btw. Sisikii uvivu ila natumia simu ya mchina.
 
Nipo kwenye managrial position. I believe that it is wise to leave the organization in good terms Sina tatizo na kutoa notisi ya siku 28 ila mahusiano na mwajiri wangu yameharibika kiasi cha kuleta hofu na kukosa amani pindi unapofika muda wa kwenda kazini
kama gharama za kutoa notisi ya 24 hrs ni mshahara wa mwezi mmoja sina tatizo nalo kabisa, i can do in good faith. Ni kweli 24 hrs notisi hata mimi sipendi ila nikiangalia mbele naona kama gharama za kuendelea kuwa pale angalau kwa wiki moja ni kubwa kuliko faida nitakayoipata au reputation ninayoilinda sana sana reputation yangu inaweza kuendelea kuporomoka
 
Ili isikuumize, omba likizo yako ya mwaka, then andika barua ya resignation. Toa ofa ya kuwepo available endapo inahitajika kwa ajili ya handing over (hapo unajilinda usisomwe jeuri). The smart one between wewe na anayeku-frustrate will come clean at the end of this. Kuna sheria na kuna professionalism. Kumbuka wakati unataka kurudi hapo kama mkurugenzi huyo zombie anaekusumbua sasa anaweza kuwa alishakufa ama kufukuzwa ila records zako zinawekwa for a long time. Play dumb and finish this off and laugh when you are across the river.
Nipo kwenye managrial position. I believe that it is wise to leave the organization in good terms Sina tatizo na kutoa notisi ya siku 28 ila mahusiano na mwajiri wangu yameharibika kiasi cha kuleta hofu na kukosa amani pindi unapofika muda wa kwenda kazini
kama gharama za kutoa notisi ya 24 hrs ni mshahara wa mwezi mmoja sina tatizo nalo kabisa, i can do in good faith. Ni kweli 24 hrs notisi hata mimi sipendi ila nikiangalia mbele naona kama gharama za kuendelea kuwa pale angalau kwa wiki moja ni kubwa kuliko faida nitakayoipata au reputation ninayoilinda sana sana reputation yangu inaweza kuendelea kuporomoka
 
@ Anhauser

Bht anakusidia kusema kuwa kama Mwajiri hatakupa notisi ya kukuachisha kazi katika kipindi kilichoainishwa na sheria, "anaweza" [may] kukulipa ujira Muajiriwa.

Kwa nini sheria itoe muongozo huo?
Na nini mantiki ya muongozo huo wa kisheria?

Na kwa mantiki hiyo hiyo kwanini Mwajiriwa asimlipe Mwajiri akiacha kazi bila notisi?

Lini umeanza kusoma 'minds' za wenyewe so perfectly?

Lol...thanks Gee nasubiri bwan'shem anijibu.
 
Nipo kwenye managrial position. I believe that it is wise to leave the organization in good terms Sina tatizo na kutoa notisi ya siku 28 ila mahusiano na mwajiri wangu yameharibika kiasi cha kuleta hofu na kukosa amani pindi unapofika muda wa kwenda kazini
kama gharama za kutoa notisi ya 24 hrs ni mshahara wa mwezi mmoja sina tatizo nalo kabisa, i can do in good faith. Ni kweli 24 hrs notisi hata mimi sipendi ila nikiangalia mbele naona kama gharama za kuendelea kuwa pale angalau kwa wiki moja ni kubwa kuliko faida nitakayoipata au reputation ninayoilinda sana sana reputation yangu inaweza kuendelea kuporomoka
Meneja hiyo ndo 'busara' tu unayotakiwa kutumia mwenyewe ukishakua umepima faida na hasra za hatua unayotaka kuchukua.
Na kwa vile umeshauriwa vya kutosha kukupa mwanga basi naamini maamuzi yako yatakufanya mshindi mwisho wa siku.
 
Kwenye sheria za kazi mbona hamna sehemu inayozungumzia kuacha kazi kwa notice ya 24 hrs!
The fact kwamba hukupewa mkataba
haina maana kuwa hakuna mkataba.
Makataba sio lazima uwe wa
maandishi. Mkataba wa maandishi ni
formality tuu
Sec 14(2) inasema "A contract with an employee shall be in writing...." kwa hy alikuwa analazimika kupewa mkataba wa kimaandishi.
Sheria inaset minimum standards so
kutokana na sheria iliyobandikwa
hapa inasema kama wewe unalipwa
kwa mwezi basi inabidi utoe notice
ya siku 28 minimum,
Sheria inasema muajiri ndiye anatakiwa atoe notice na sio muajiriwa, soma sec 41(5) ndo utaelewa.
Kipengele 41 kinaongelea pande
zote nadhani so pande zote mbili
zinaweza kuterminate contract,
kipengele cha 34 kinaongelea
mwajiri peke yake.
Mkuu kipengele cha 34 kinaelezea issue za leave (likizo) na sio termination (kuacha kazi)
 
Kwa wale wanaopenda kuisoma sheria hiyo kwa lugha ya Kiswahili, inapatikana hapa kama ilivyotafsiriwa na Evans Robson Nzowa ambe ni wakili wa Mahakama Kuu ya Tanzania na Mwanasheria wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Fedha, Viwanda, Mabenki, Huduma, Biashara na Kilimo [FIBUCA].

Hairuhusiwi kutoa taarifa ya kusitisha ajira wakati wa likizo au kutoa taarifa
hiyo sambamba na likizo.

Mwajiri anaweza kusitisha ajira ya mfanyakazi na kumlipa mshahara badala ya
taarifa.

Mfanyakazi anayo haki ya kukata rufaa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi endapo
hajaridhika na hatua ya Mwajiri kusitisha ajira kwa taarifa au kwa malipo
badala ya taarifa.
 
Sec 14(2) inasema "A contract with an employee shall be in writing...." kwa hy alikuwa analazimika kupewa mkataba wa kimaandishi.

Hicho kifungu cha sheria hukukimaliza kukiandika na hivyo kutupa maana tofauti ya sheria husika.

Sheria inasema

14 (2) A contract with an employee shall be in writing if the contract provides that the employee is to work outside the United Republic of Tanzania.

Ikimaanisha kuwa kama kazi itatakiwa kufanywa ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mkataba unaweza kuwa wa mdomo au wa maandishi. [Rejea:Tafsiri nyepesi ya Sheria za kazi-Tanzania]

Siku Mwajiri na Mwajiriwa wakiburuzana mahakamani na iwapo mkataba ni wa mdomo tu, Mwajiri ndie atakaetakiwa kuthibitisha kuwa madai yake ndiyo waliyokubalina kwenye mkataba wa ajira wa mdomo
 
  • Thanks
Reactions: bht
Dena nimeeleza wazi kuwa mwajiri wangu hakunipa mkataba wowote leo ninapofikiria kuacha kazi. Nilipofaulu interview nilipewa nilipewa letter of appointment. Probation period ilikuwa ni miezi 6 baada ya hapo nitakuwa naingia mkataba wa miaka mitatu mitatu. Probation period iliisha na mkataba sikupewa. Leo ni mwaka wa tatu sina contract na mwajiri. Haya kazi kwako kushauri


Wewe kweli umenichekesha maelezo yako yanapingana mara ulipewa mkataba wa mwaka mmoja mara tena hujapewa mkataba umenichanganya.......

Anyway: kwa hayo maelezo yako tu yanatosha kukwambia kuwa hata ukiacha kazi 24hrs hakuna mtu atakayekudai kitu wala chochote the reason behind huna mkataba............Yaani nyie ndio watu msiojua haki zetu utafanyaje kazi miaka mitatu bila mkataba???? Aisee nimeishiwa hata nguvu za kukushauri maana hii ni maajabu kuzidi yale ya musa
 
Kwenye sheria za kazi mbona hamna sehemu inayozungumzia kuacha kazi kwa notice ya 24 hrs!

Sec 14(2) inasema "A contract with an employee shall be in writing...." kwa hy alikuwa analazimika kupewa mkataba wa kimaandishi.

Sheria inasema muajiri ndiye anatakiwa atoe notice na sio muajiriwa, soma sec 41(5) ndo utaelewa.

Mkuu kipengele cha 34 kinaelezea issue za leave (likizo) na sio termination (kuacha kazi)
Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini No 6 ya 2004 inasomwa sambamba na kanuni zake za 2007 kupitia Tangazo la Serikali No. 42, 64, 65 na 67.
Alafu kuhusu kumlipa mwajiri mshahara wa mwezi mmoja(notisi ya masaa 24) usihishie kwenye S.41(5) ya SAMK ebu malizia na S.41(6) SAMK ukishindwa kuelewa zama kwenye hayo ma-GN.

Note:
SAMK = Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini
GN = Government Notes
 
Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini No 6 ya 2004 inasomwa sambamba na kanuni zake za 2007 kupitia Tangazo la Serikali No. 42, 64, 65 na 67.
Alafu kuhusu kumlipa mwajiri mshahara wa mwezi mmoja(notisi ya masaa 24) usihishie kwenye S.41(5) ya SAMK ebu malizia na S.41(6) SAMK ukishindwa kuelewa zama kwenye hayo ma-GN.

Note:
SAMK = Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini
GN = Government Notes

Nimeshindwa kuelewa licha ya kwenda kwenye GN Na.42

Naomba ufafanuzi
 
Back
Top Bottom