Msaada kuhusu kuacha kazi 24 hours notice

Wewe muuliza swali ngoja nikuulize........

Wakati ukisaini huo mkataba ulliusoma??? Na kama uliusoma ulisemaje??

tuanzie hapo ndo tuendelee................

Sabaabu kwa mfano mimi niliwahi kusaini mikataba mbalimbali
Mmoja ukasema ukitaka kuacha kazi toa notice ya miezi mitatu au ulipe mshahara wa mwezi mmoja
Na mwajiri akikufukuza kazi anakulipa mshahara wa mwezi mmoja na kama unaarreas za leave anakulipa
Mwingine ukasema mwajiri akikufukuza anakulipa mshahara wa mwezi mmoja
Na ukitaka kuacha kazi utoe notice ya mwezi mmoja ama ulipe mshahara wa mwezi mmoja.
Inategemea na vile mlivyokubaliana kama wewe ulisaini bila kusoma imekula kwako
Hapa sheria haihuu saana sababu yeye atabezi kwenye kile mlichosainishana unless otherwise.
Dena nimeeleza wazi kuwa mwajiri wangu hakunipa mkataba wowote leo ninapofikiria kuacha kazi. Nilipofaulu interview nilipewa nilipewa letter of appointment. Probation period ilikuwa ni miezi 6 baada ya hapo nitakuwa naingia mkataba wa miaka mitatu mitatu. Probation period iliisha na mkataba sikupewa. Leo ni mwaka wa tatu sina contract na mwajiri. Haya kazi kwako kushauri
 
Dena nimeeleza wazi kuwa mwajiri wangu hakunipa mkataba wowote leo ninapofikiria kuacha kazi. Nilipofaulu interview nilipewa nilipewa letter of appointment. Probation period ilikuwa ni miezi 6 baada ya hapo nitakuwa naingia mkataba wa miaka mitatu mitatu. Probation period iliisha na mkataba sikupewa. Leo ni mwaka wa tatu sina contract na mwajiri. Haya kazi kwako kushauri

The fact kwamba hukupewa mkataba haina maana kuwa hakuna mkataba. Makataba sio lazima uwe wa maandishi. Mkataba wa maandishi ni formality tuu. Cha muhimu is what happened in practice. Si ulikuwa unafanya kazi na anakulipa mshahara? Halafu nikuulize, baada ya probation kuisha na na mwajiri kutokupa mkataba wa maandishi, ulishawahi kuudai huyo mkataba wa maandishi? Au na wewe uliamua kukaa kimya tuu?
 
The fact kwamba hukupewa mkataba haina maana kuwa hakuna mkataba. Makataba sio lazima uwe wa maandishi. Mkataba wa maandishi ni formality tuu. Cha muhimu is what happened in practice. Si ulikuwa unafanya kazi na anakulipa mshahara? Halafu nikuulize, baada ya probation kuisha na na mwajiri kutokupa mkataba wa maandishi, ulishawahi kuudai huyo mkataba wa maandishi? Au na wewe uliamua kukaa kimya tuu?

Hadi hapa nimeelewa. Pointi kubwa ni kuwa mkataba si lazima uwe wa maandishi. Kwa hiyo kama sina mkataba wa maandishi bado napaswa kutoa notisi ya siku 28 au kama ni 24 hrs basi nirejeshe mshahara mmoja. Sasa sijui ni basic au net salary. Na je ikitokea nipo likizo na nataka kuacha kazi nifanyeje? Naweza nikatoa notisi ya siku 28 nikiwa likizo?
 
Hadi hapa nimeelewa. Pointi kubwa ni kuwa mkataba si lazima uwe wa maandishi. Kwa hiyo kama sina mkataba wa maandishi bado napaswa kutoa notisi ya siku 28 au kama ni 24 hrs basi nirejeshe mshahara mmoja. Sasa sijui ni basic au net salary. Na je ikitokea nipo likizo na nataka kuacha kazi nifanyeje? Naweza nikatoa notisi ya siku 28 nikiwa likizo?

Kwa nini urejeshe mshahara wa kazi ambayo umeshaifanya?

What is the rationale for that? Au wewe unalipwa mshahara a month in advance?

I have never heard of such before and quiet honestly it is utterly asinine.
 
Kwa nini urejeshe mshahara wa kazi ambayo umeshaifanya?

What is the rationale for that? Au wewe unalipwa mshahara a month in advance?

I have never heard of such before and quiet honestly it is utterly asinine.
Ngabu hapa naona halikuingii asilani...
Nikuulize, kwa nini sheria inamwamuru mwajiri amlipe mwajiriwa endapo atasitisha mkataba wa ajira? (and hey i am not in favor of this ACT)
 
Ngabu hapa naona halikuingii asilani...
Nikuulize, kwa nini sheria inamwamuru mwajiri amlipe mwajiriwa endapo atasitisha mkataba wa ajira? (and hey i am not in favor of this ACT)

Hiyo sheria iliyowekwa hapa imetumia neno "may". "May" ni amri? Kwa nini isiwe "shall" au "must"?

Au kuna sheria ingine inayosema "the employer must"?

Kwa sababu nijuavyo mimi kuna tofauti kubwa tu kati ya hizo modal verbs. Au katika legalese zina maana ile ile?
 
Hiyo sheria iliyowekwa hapa imetumia neno "may". "May" ni amri? Kwa nini isiwe "shall" au "must"?

Au kuna sheria ingine inayosema "the employer must"?
Uko sawa, 'may' si amri...sheria imeamuru kwenye notisi na ikaacha kwa pande mbili kukubaliana juu ya malipo endapo notisi haitatolewa. Na hapa amabpo sheria ndo imeziachia hizi pande 'hiyari' ndipo mwajiri anapatumia kuweka vifungu vya namna hii, i.e malipo badala ya notisi

Hakuna sheria nyingine ila ni makosa ya lugha niliyotumia...
Sasa unaweza kunipa mawazo yako juu ya nilichokuliza?
 
''shall'' na ''may'' nakubaliana na wewe Ngabu kuwa zina maana tofauti hata kwenye legalese.
 
Uko sawa, 'may' si amri...sheria imeamuru kwenye notisi na ikaacha kwa pande mbili kukubaliana juu ya malipo endapo notisi haitatolewa. Na hapa amabpo sheria ndo imeziachia hizi pande 'hiyari' ndipo mwajiri anapatumia kuweka vifungu vya namna hii, i.e malipo badala ya notisi

Hakuna sheria nyingine ila ni makosa ya lugha niliyotumia...
Sasa unaweza kunipa mawazo yako juu ya nilichokuliza?

Kwa vile sheria inatumia modal verb ya "may", kwa hiyo si sahihi kusema kwamba sheria inamuamuru mwajiri amlipe hela mwajiriwa endapo kazi itasitishwa. Hivyo basi, hiyo sheria inatoa tu muongozo na kama mwajiri atapenda basi atakupa sijui nikiite kifuta jasho or whatever it is.

Kwa hiyo ni hiari yake (yeye mwajiri). Sasa kwa nini kibao kikigeuzwa mwajiriwa ndiyo alazimike kumlipa mwajiri? Kwa nini kwa mwajiriwa isiwe hiari pia?

Unless, kama alivyoeleza Dena, kuwa labda kwenye mkataba ndivyo inasema hivyo na wewe mwajiriwa ulisaini mkataba. Lakini kama mkataba hausemi hivyo na sheria ya kazi inazipa pande zote mbili hiari, sioni kabisa mantiki yoyote ile ya mfanyakazi kumlipa mwajiri wake endapo ataamua kuacha kazi ghafla.
 
Kwa vile sheria inatumia modal verb ya "may", kwa hiyo si sahihi kusema kwamba sheria inamuamuru mwajiri amlipe hela mwajiriwa endapo kazi itasitishwa. Hivyo basi, hiyo sheria inatoa tu muongozo na kama mwajiri atapenda basi atakupa sijui nikiite kifuta jasho or whatever it is.

Kwa hiyo ni hiari yake (yeye mwajiri). Sasa kwa nini kibao kikigeuzwa mwajiriwa ndiyo alazimike kumlipa mwajiri? Kwa nini kwa mwajiriwa isiwe hiari pia?

Unless, kama alivyoeleza Dena, kuwa labda kwenye mkataba ndivyo inasema hivyo na wewe mwajiriwa ulisaini mkataba. Lakini kama mkataba hausemi hivyo na sheria ya kazi inazipa pande zote mbili hiari, sioni kabisa mantiki yoyote ile ya mfanyakazi kumlipa mwajiri wake endapo ataamua kuacha kazi ghafla.
Na mimi nimeeleza hivyo kwamba hiyo hiyari ndiyo waajiri wanaitumia kuweka such clauses kwenye mikata ya ajira.
Na ukisaini mkataba huna budi kutekeleza yaliyomo ukishindwa basi upande mwingine una haki ya kukushtaki kwa kutofuata makubaliano yenu.

Back to his case: hakusini mkataba na kafanya kazi miaka mitatu, kisheria huyu ni mwajiriwa hata bila ya kusign mkataba, sasa ni makubaliano yepi yatafuatwa hapa?
Chukulia labda mwajiri anawakata wengine huo mshahara kulingana na kilicho kwenye mkataba wao. Terms ambazo zipo humo tuchukulie ndo hizo pia zilitumika kwa mleta hoja, mfano mambo ya matibabu, usafiri, nyumba n.k
 
Na mimi nimeeleza hivyo kwamba hiyo hiyari ndiyo waajiri wanaitumia kuweka such clauses kwenye mikata ya ajira.
Na ukisaini mkataba huna budi kutekeleza yaliyomo ukishindwa basi upande mwingine una haki ya kukushtaki kwa kutofuata makubaliano yenu.

Back to his case: hakusini mkataba na kafanya kazi miaka mitatu, kisheria huyu ni mwajiriwa hata bila ya kusign mkataba, sasa ni makubaliano yepi yatafuatwa hapa?
Chukulia labda mwajiri anawakata wengine huo mshahara kulingana na kilicho kwenye mkataba wao. Terms ambazo zipo humo tuchukulie ndo hizo pia zilitumika kwa mleta hoja, mfano mambo ya matibabu, usafiri, nyumba n.k

Kama hakuna mkataba wa kimaandishi basi sheria ya kazi inahusika na sheria ya kazi (kama ndiyo hiyo iliyobandikwa humu) haiamuru mwajiriwa amlipe mwajiri wake endapo huyo mwajiriwa atasitisha ajira yake. That is crazy! Lol...sijapata kuisikia hii mimi.

Hao wengine watakuwa dealt with kulingana na sheria husika pamoja na kilichomo kwenye mikataba yao.
 
Hadi hapa nimeelewa. Pointi kubwa ni kuwa mkataba si lazima uwe wa maandishi. Kwa hiyo kama sina mkataba wa maandishi bado napaswa kutoa notisi ya siku 28 au kama ni 24 hrs basi nirejeshe mshahara mmoja. Sasa sijui ni basic au net salary. Na je ikitokea nipo likizo na nataka kuacha kazi nifanyeje? Naweza nikatoa notisi ya siku 28 nikiwa likizo?

Mikataba mingi ya ajira huwa kuna term inayosema kuwa ukiacha kazi ni lazima utoe notice ya mwezi mmoja na kama ukiamua kuacha kwa muda mfupi, umlipe mwajili fedha taslimu inayolingana na mshahara wako wa mwezi mmoja. Unaweza ukatoa cash na kumlipa au unaacha mshahara wako wa mwishi ndio unakuwa malipo. Labda kama ungekuwa na mkataba wa maandishi kuingekuwa na hiyo term pia. I don't know.

Kwa vile huna huo mkataba itakuwa ni vigumu kuacha kwa kutoa notice ya masaa 24 kwa sababu sidhani kama utakuwa na mamlaka ya kisheria kufanya hivyo. Hata kama unaweza kutoa notice ya masaa 24 na kuondoka inaweza kukufanya ukose haki zako nyingine za msingi kama certificate of service, accrued annual leave, mshahara kwa kazi uliyoifanya kabla ya kuacha kazi, n.k. Kama ungekuwa na mkataba wa maandishi ungekuwa kimbilio lako. Kwa vile huna inabidi kuangalia sheria inasemaje.

Kwa mujibu wa Employment and Labour Relations Act 2004, notice ya kuacha inaweza kutolewa na upande wowote kwenye mkataba wa kazi. Lakini notice za kuacha kazi zinatofautiana. Kama notice ya kuacha kazi inatolewa mwezi wa kwanza baada tuu ya kuanza kazi, hiyo notice inabidi iwe sio chini ya siku saba.

Kama umeajiriwa on daily basis or on weekly basis, period ya notice lazima iwe siku nne. Na kama umeajiriwa on monthly basis, the period of notice "shall" be 28 days. Mkataba wa kazi unaweza kuwa na longer period lakini the agreed notice shall be of equal duration kwa mwajiri na mwajiriwa.

Sasa piga hesabu hapo. Kama the minimum period ya notice ni siku saba kama una mwezi mmoja kazini na siku nne kama umeajiriwa kwa siku au wiki, kweli kisheria unaweza kutoa notice ya masaa 24 kama umeajiriwa on monthly basis na umekuwa kazini zaidi ya mwaka? Labda inawezekana kuna sheria nyingine inayoruhusu notice ya masaa 24 lakini siko aware nayo. Wachangiaji wengine watasaidia kama ipo.

The best option for me ni kuongea na huyo mwajiriwa mpya na umweleze ukweli kuwa huwezi kutoa notice chini ya siku 28. Kwamba personally hudhani kuwa ni good practice kwa mwajiriwa kutoa notice ya masaa 24. Kwamba hata yeye kama mwajiri asingependa mwajiriwa wake amtwangie notice ya masaa 24. Ni muhimu kumaintain your self respect kwa waajiri wapya; kwamba you respect your employers whether old or new.

Ukumbuke kuwa mwajiri wa zamani anaweza kukushtaki for damages kama amepata hasara kwa wewe kuacha kazi within 24 hours kinyume na sheria au makubaliano. Kuna legal implications nyingi tuu na inabidi umtafute mtaalamu wa sheria za kazi akushauri juu ya hizo implications ili uweze ku-make an informed decision. Kuna issues pia za restraint to trade hasa kama huyo mwajiri mtarajiwa ni competitior wa mwajiri wa sasa na una secret business information ambazo unaweza kuzihamishia kwake. Ndio maana nimesema tokea mwanzo kuwa facts ulizotoa ni ndogo sana kupata ushauri.

Kuhusu kutoa notice ya 28 ukiwa likizo inategemea. Kwanza kabisa kumbuka kuwa ukishatoa notice ya siku 28 bado wewe ni mwajiriwa wa huyo mwajiri uliyempa notice. Huwezi kutoa notice ya siku 28 halafu ukajifanya uko likizo kumbe unafanya kazi na mwajiri mpya ndani ya muda wa hiyo notice. Mwajiri wa zamani akishtukikia anaweza kukushtaki for breach of contract and possibly huyo mwajiri mpya pia. Probably there may be exceptions.

Kama ningekuwa mimi nikishatoa notice ya siku 28 nitakuwa naenda kazini kama kawaida unless mwajiri aseme nisije. Hata kabla ya kutoa hiyo notice ningeongea nae informally kuhusiana na kutaka kuacha kazi. Who knows kama anakuthamini sana anaweza kukupa terms nzuri zaidi ya huko unakotaka kwenda.

Unless our relatioship have completely broken down, ningependa kamalizana nae in good terms na kuagana nae siku ya mwisho bearing in mind I might need a reference from him/her or something else in future. Afterall huwa napenda kuwatembelea my former employers and my former work colleagues to know how they are doing. It is all about maintaning friendship. That is my personal view, but you may have yours. Lakini kama nilivyosema mwanzo, milima haikutani lakini binadamu hukutana tena hapa hapa duniani.
 
Mikataba mingi ya ajira huwa kuna term inayosema kuwa ukiacha kazi ni lazima utoe notice ya mwezi mmoja na kama ukiamua kuacha kwa muda mfupi, umlipe mwajili fedha taslimu inayolingana na mshahara wako wa mwezi mmoja. Unaweza ukatoa cash na kumlipa au unaacha mshahara wako wa mwishi ndio unakuwa malipo. Labda kama ungekuwa na mkataba wa maandishi kuingekuwa na hiyo term pia. I don't know.

Je, sheria ya kazi inasema ni lazima pia?
 
Mikataba mingi ya ajira huwa kuna term inayosema kuwa ukiacha kazi ni lazima utoe notice ya mwezi mmoja na kama ukiamua kuacha kwa muda mfupi, umlipe mwajili fedha taslimu inayolingana na mshahara wako wa mwezi mmoja.
Hayo ni makubaliano yenu ya kimkataba, makubaliano yenu nyinyi!

Hakuna sheria inayosema mwajiriwa akiacha kazi bila adequate notice atatakiwa kumlipa mwajiri mshahara. Hakuna!
 
Tatizo la kubeba boksi, hata ukiacha mid-day tu unavua gloves na overcoat unatambaa, lol (nakutania presidaa)

But NN kuna some operations ambazo ni muhimu sana kuwe na mtu mwenye uzoefu na capacity (uwezo?) Wa kufanya kazi. Anahitaji special trainings and all that. Nadhani sheria inamlinda mwajiri ili asihitaji kufunga operations kila mfanyakazi muhimu anapomlima 24 hrs (usiulize akifa inakuwaje). Sio fair kabisa kutoa 24 hrs notice kwa managerial position, it is immature na hata mtu anayekubali ku-join my team kwa kuache atokako kwa 24 hrs notice namuangalia kwa jicho pembe! Unless kuna ugomvi, but the pasture is always greener on the other side!
Kwa nini urejeshe mshahara wa kazi ambayo umeshaifanya?

What is the rationale for that? Au wewe unalipwa mshahara a month in advance?

I have never heard of such before and quiet honestly it is utterly asinine.
 
Tatizo la kubeba boksi, hata ukiacha mid-day tu unavua gloves na overcoat unatambaa, lol (nakutania presidaa)

But NN kuna some operations ambazo ni muhimu sana kuwe na mtu mwenye uzoefu na capacity (uwezo?) Wa kufanya kazi. Anahitaji special trainings and all that. Nadhani sheria inamlinda mwajiri ili asihitaji kufunga operations kila mfanyakazi muhimu anapomlima 24 hrs (usiulize akifa inakuwaje). Sio fair kabisa kutoa 24 hrs notice kwa managerial position, it is immature na hata mtu anayekubali ku-join my team kwa kuache atokako kwa 24 hrs notice namuangalia kwa jicho pembe! Unless kuna ugomvi, but the pasture is always greener on the other side!

Sawa, lakini sheria ya kazi (at least iliyowekwa hapa) haim-mandate mwajiriwa kumlipa mwajiri wake endapo ataacha kazi ghafla.
 
Hayo ni makubaliano yenu ya kimkataba, makubaliano yenu nyinyi!

Hakuna sheria inayosema mwajiriwa akiacha kazi bila adequate notice atatakiwa kumlipa mwajiri mshahara. Hakuna!
Bwashee, uko sahihi kabisa na hata ukimsoma mkuu EMT na Ngabu hapo juu naona tumekuja kufikia kwenye point kwamba sheria imeacha iwe 'hiyari'.

Lakini sasa hiyo hiyari ndiyo hasa inatumika na waajiri wengi kuweka vipengele vya kulipana endapo hutatoa notisi.
Na ukisaini makubaliano ya namna hiyo ni lazima uyafuate.

Kwa kesi ya huyu muhusika nakubaliana na Ngabu tena na EMT kwamba yeye hana mkataba kwa hiyo hakuna makubaliano ya kulipana notisi, sasa yeye inabaki juu yake aamue kulingana ba busara yake.

Ila sasa mie napata kijiswali, shera inakutambua kuwa wewe ni mwajiriwa unapofanya kazi miezi sita na kuendelea hata bila mkataba. Na benefits zote anazopata mwajiriwa basi na wewe Una haki ya kupata kulingana na sheria za kazi na 'taratibu' za mwajiri. Sasa ukiacha kazi si ni sawa mwajiri akifuata hizo 'taratibu' pia? Maana kumbuka ulikuwa treated sawa na waajiriwa wengine wenye mkatababa na tunaambiwa kuwa mwajiriwa si lazima usaini mkataba wa ajira maana sheria yenyewe imetoa qualification nyingine ya mtu kuwa mwajiriwa.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Nadhani sheria inamlinda mwajiri
sheria gani? onyesha mstari wa sheria unaosema uki quit kazi utatakiwa kumlipa mwajiri mshahara.

Bwashee, uko sahihi kabisa na hata ukimsoma mkuu EMT na Ngabu hapo juu naona tumekuja kufikia kwenye point kwamba sheria imeacha iwe 'hiyari'.
Waaaapi hapo? Ni wapi sheria imesema mwajiriwa ana hiari ya kumlipa mwajiri mshahara?

Wewe mwenyewe bwashee huoni kwamba hicho mnachokisema haki make sense na hakiwezi kuwekwa kwenye sheria? Nani atafanya "hiari" ya kumlipa mwajiri hela maisha haya?
 
Unaelewa matumizi ya neno 'nadhani'? Well, I am not sure ni kipengele gani haswa. Mie nikipata kazi, lazma niichukue contract nikakae nayo 2 days, scan it line by line na natafsiri hadi comma na nukta! Kama sijaelewa nitaomba msaada wa kisheria. Ila muhimu kwangu wakati wa kuacha kazi ni a smooth handover. Kama kazi mpya wananihitaji desperately, we will make an arrangement ya at least 2 hrs everyday wakati namalizana na mwajiri wangu.

Swali kwako, sheria inasemaje kama muajiri anaweza akakupa summary dismisal (NADHANI hii ndo kama 24 hrs or less notice ya muajiri...) Bila kukulipa? Like unaenda ofisini asubuhi na kurudi huna kazi?
sheria gani? onyesha mstari wa sheria unaosema uki quit kazi utatakiwa kumlipa mwajiri mshahara.
 
Back
Top Bottom