Cherrylicious
Member
- Dec 1, 2010
- 37
- 2
Naomba msaada wana jamvi, kuna hii imani ya kuwa mtoto akidondokewa na kitovu kinapokatika, ya kuwa kachululuu kanakuwa hakana kazi?je kuna ukweli ndani yake? na mtoto anatakiwa kuanza kusimamisha mashine akiwa na umri gani? je ni lazima mashine isimame asubuhi?