Wandugu, naombeni ushauri wenu, nimejaribu kupita pita madukani kutaka kununua television ambazo ni full HD, na music system,nimeshangaa kuona bei ya TV hizi hapa kwetu wakati mwingine inafika mpaka mara tatu ya bei za nchi kama Marekani, mpaka nimefikia kufikiria kugiza kutoka huko. wazoefu wa haya mambo mnafikiri hili ni wazo zuri? naomba pia kama kuna mtu anayejua import duty ya television na music systems anisaidie.
Kuna sehemu/nchi nyingine yoyote karibu amabayo vitu hivi vinapatikana kwa bei nzuri
Asanteni
Kuna sehemu/nchi nyingine yoyote karibu amabayo vitu hivi vinapatikana kwa bei nzuri
Asanteni