Usifuate maneno ya watu...hapa ulivyoambiwa sio vle ilivyo kwa uhalisia wake kbc...mapungufu yapo bt co kwa kiwango hcho... Nitumie e-mail address yako ntakutumia maelezo jioni.
Ebwana weka hapa wote tuone ndo tujuge kama wezi au sio...Kiukweli wabongo tunanyonywa sana ugumu wa ajira ndo watu wanatake advantage so weka hzo details watu tuone..