Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 48,936
- 54,157
Salam jf. Tafadhali naomba yoyote mwenye uelewa na suala la fedha zinazotolewa na benki zetu mwisho wa mwaka(interest credit). Mfano ktk benki ya makabwela nmb nina kiasi cha 6000000 ni kiasi gani mwisho wa mwaka naweza kuwekewa na benki? Naweza kuwa lbd nimeshindwa kujua lugha za benki hiyo fedha ni faida ipatayo benki inarudishwa kwa wenye akaunti au nini? Mwisho wa mwaka nikichukua min statement ktk atm nakuta hiyo kitu nifahamisheni.