Wadau naomba mnisaidie kuhusu ni lini mwisho wa kulipia mitihani ya board utakaofanyika mwezi wa tano. Plz nisaidie make mm niko mkoa na nimejaribu web ya board sijaona.
Nimejaribu sana lakini kwenye web yao hawajaweka mwisho ni lini. Naomba uhakika zaidi kutoka kwenu wadau.