Msaada kuhusu CAR TRADE VIEW

Kwa msisitizo nawashauri kununua gari Japan kupitia Tradecarview, mie niliwahi fanya kautafiti na mwisho nikagundua kuwa ukinunua gari showroom Dar au ...... Basi utapigwa cha juu kama 3m mpaka 5m kama faida yao na kulipia Admin cost zao, hivi sasa kununua gari Japan ni rahisi zaidi ya kupatana na hawa waswahili wetu ambao wakati mwingine wanakuwa wamezichezea ili wapate faida kubwa
Mfano mark x ya 2006 showroom zetu wanauza mil.21 wakati ukiagiza nje mpaka unaitia mkononi ni mil.13 inamaana wao wanaongeza mil.8 nzima juu
 
On average naona tradecar view wana bei kubwa sana compared to beforward..linganisha gari aina moja uone.

Ni kweli wana bei kubwa zaidi sbb wao hawana magari ila ni madalali ambao wanaunganisha makampuni mengi ya magari kama beforward, realmotorjapan, autorec, diyata japan, trust n.k. kwahiyo gari ukiinunua tradecarview utalipa bei ya kununulia kwenye kampuni husika na gharama zingine za inspection, insurance na freight, halafu nyongeza ya hapo, gharama zao za kukuunganisha na kampuni pamoja na hiyo paytrade. Gharama hizi mbili za mwisho hazipo kwa kampuni kama beforward. Kwahiyo ukinunua gari beforward moja kwa moja ni nafuu zaidi kuliko trade carview, mfano tu.
 
Kwa msisitizo nawashauri kununua gari Japan kupitia Tradecarview, mie niliwahi fanya kautafiti na mwisho nikagundua kuwa ukinunua gari showroom Dar au ...... Basi utapigwa cha juu kama 3m mpaka 5m kama faida yao na kulipia Admin cost zao, hivi sasa kununua gari Japan ni rahisi zaidi ya kupatana na hawa waswahili wetu ambao wakati mwingine wanakuwa wamezichezea ili wapate faida kubwa

Nakubaliana na wewe kuhusu gharama. Na zaidi ya hapo, ubora wa gari unakuwa mzuri zaidi. Ila siyo lazima iwe tradecarview.
 
Naomba msaada kwa waliowahi kuagiza magari kupitia kampuni ya car trade view,kuhusu usahihi wa taarifa za magari hayo.usalama fedha. hii kampuni ina tawi Tanzania.asanteni
Wanaaminika sana tu. Nimenunua magari mawili kwao. Process za kufanya nao kazi ziko hivi!
  1. Fungua akaunti yako kwenye webpage yao BURE na uanze kuchagua magari unayoyapenda kupitia akaunti hio.
  2. Ukishachagua gari unayoitaka, unakubaliana bei na muuzaji mpaka mahali unapotaka gari ifike (CIF).
  3. Muuzaji atakutumia invoice ambayo uta share na Trade Carview.
  4. Utatuma pesa kwenye akaunti ya benki ya Tradecarview na kuwatumia pay in slip kupitia akaunti yako.
  5. Tradecarview watasimamia usalama wa gari mpaka upakiaji kwenye meli. Gari ikishapakiwa Tradecarview wanakutumia original Bill of Lading
  6. Wao ndio watamlipa supplier baada ya kuhakikisha gari imekaguliwa na inaendana na documents utakazopewa na wanahakikisha imepakiwa melini. Unapewa tracking number ya kujua mzigo wako unafika lini.
  7. Ikishafika unawajulisha Tradecarview na unakuwa umemaliza process. Ni rahisi sana na kuna usalama wa pesa zako. Cha muhimu uwe na akaunti na hao Tradecarview
 
On average naona tradecar view wana bei kubwa sana compared to beforward..linganisha gari aina moja uone.

Ni kweli wana bei kubwa zaidi sbb wao hawana magari ila ni madalali ambao wanaunganisha makampuni mengi ya magari kama beforward, realmotorjapan, autorec, diyata japan, trust n.k. kwahiyo gari ukiinunua tradecarview utalipa bei ya kununulia kwenye kampuni husika na gharama zingine za inspection, insurance na freight, halafu nyongeza ya hapo, gharama zao za kukuunganisha na kampuni pamoja na hiyo paytrade. Gharama hizi mbili za mwisho hazipo kwa kampuni kama beforward. Kwahiyo ukinunua gari beforward moja kwa moja ni nafuu zaidi kuliko trade carview, mfano tu.
Yah good logic.,.makes sense
 
Kwa msisitizo nawashauri kununua gari Japan kupitia Tradecarview, mie niliwahi fanya kautafiti na mwisho nikagundua kuwa ukinunua gari showroom Dar au ...... Basi utapigwa cha juu kama 3m mpaka 5m kama faida yao na kulipia Admin cost zao, hivi sasa kununua gari Japan ni rahisi zaidi ya kupatana na hawa waswahili wetu ambao wakati mwingine wanakuwa wamezichezea ili wapate faida kubwa

Nakubaliana na wewe kuhusu gharama. Na zaidi ya hapo, ubora wa gari unakuwa mzuri zaidi. Ila siyo lazima iwe tradecarview.
Which company /website ina bei nafuu zaidi kwa ubora mzuri?
 
Kwa msisitizo nawashauri kununua gari Japan kupitia Tradecarview, mie niliwahi fanya kautafiti na mwisho nikagundua kuwa ukinunua gari showroom Dar au ...... Basi utapigwa cha juu kama 3m mpaka 5m kama faida yao na kulipia Admin cost zao, hivi sasa kununua gari Japan ni rahisi zaidi ya kupatana na hawa waswahili wetu ambao wakati mwingine wanakuwa wamezichezea ili wapate faida kubwa
Beforward je?
 
Mfano mark x ya 2006 showroom zetu wanauza mil.21 wakati ukiagiza nje mpaka unaitia mkononi ni mil.13 inamaana wao wanaongeza mil.8 nzima juu
ulichokieleza ndicho ukweli wa jinsi showroom zetu zinavyowanyonya waTz wasiojua ukweli wa mambo, mie miaka ya nyuma nilifanikiwa kupata gari kwa milioni nane wakati show room zetu bei ya mwisho wengi walitaka milioni 13
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Nimetoka kukomboa mchuma bandarini siku 3 zilizopita niliagiza kupitia TradeCarView, uzuri wa hawa wanagari nyingi so kuchagua ushindwe mwenyewe tu, befoward pia wana gari nyingi ila si kama TradeCar
 
Tradecarview wako poa sana. Nmenunua gari kibao wako poa. Sio kwingine gari inakija mbovu no service na scratches. Kule kuko secure na gari mbovu wanakuambia mbovu...sio kununua mbuzi kwa gunia. Mwaka 2012 niliagiza subaru legacy 2006 sport mpaka this year 2016 sijawahi kubadilisha hata bulb na gari hakuja na scratch yoyote. Kama mpya yani ..ni kumwaga oil na kuchange filter. Sellers wako wazi na wakweli. Ilo nawakubali!
 
Mim nimenunua gari za
Naomba msaada kwa waliowahi kuagiza magari kupitia kampuni ya car trade view,kuhusu usahihi wa taarifa za magari hayo.usalama fedha. hii kampuni ina tawi Tanzania.asanteni
Mim nimenunua gari zaid ya tatu kwenye tradecarview. Uzuri wa hii site kuna magari mengi sana.. kwa hiyo unachagua unavyotaka. Nilianza kuagiza gari kipindi hiko ambacho hawana ofisi hapa dar ila sasa hvi wana ofisin.. water front building
 
ulichokieleza ndicho ukweli wa jinsi showroom zetu zinavyowanyonya waTz wasiojua ukweli wa mambo, mie miaka ya nyuma nilifanikiwa kupata gari kwa milioni nane wakati show room zetu bei ya mwisho wengi walitaka milioni 13
Showroom wanaweka chajuu Kikubwa sana na usishangae ukakuta gari imeshachakachuliwa
 
Back
Top Bottom