Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,100
- 6,022
Wanajanvi kuna kitu hapa kwenye mkataba wangu wa kazi nahisi hakipo sawa. Naomba ufafanuzi kwenye mkataba wangu wameandika basic salary yangu ni kiasi flani(say laki 5) lakini kiasi ninachopata in hand nakuta kimekatwa(say laki 3) ina maana wamekata income tax pamoja na NSSF. Sasa kwa ufahamu wangu hii basic salary ndio take home na haitakiwi kukatwa,sasa nashangaa wamekatajeee? Maana gross salary ndio inakatwa sasa hapa inakuaje? Msaada plz.