Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
MTM umenena vyema.
Lakini tusisahau kuwa kama hilo jambo halitaki kweli basi ni mhanga na hawezi kuonyesha hata kuwa hataki
Kumwambia nenda polisi haisaidii wala TAMWA.
La kwanza ninalotaka ajiulize ni kwa nini hataki kutoa tigo? kwanza mwenyewe ajue kwa nini hataki ndio kutapatikana ufumbuzi....or else itakuwa ni kufata mkumbo.
Lakini tusisahau kuwa kama hilo jambo halitaki kweli basi ni mhanga na hawezi kuonyesha hata kuwa hataki
Kumwambia nenda polisi haisaidii wala TAMWA.
La kwanza ninalotaka ajiulize ni kwa nini hataki kutoa tigo? kwanza mwenyewe ajue kwa nini hataki ndio kutapatikana ufumbuzi....or else itakuwa ni kufata mkumbo.