Msaada kuacha tigo

nderingosha

JF-Expert Member
Mar 20, 2011
4,281
3,243
Natumaini mu wazima week end hii,mi naomba mjadili hili swala la mapenzi kinyume cha maumbile(tigo)katika ndoa kwani katika mijadala mingi jambo hili hujadiliwa haswa linapokuwa nje ya ndoa lakini kuna watu walioko kwenye ndoa ambako jambo hili hutokea sana lakini halijadiliwi kwani watu huona kama vile si mahali pake vile!lakini ukweli ni kwamba lipo na wenzetu wazungu hulijadili waziwazi huku baadhi yao wakisema kufurahishwa sana na mchanganyiko wa tigo na ngono mbabadala kwenye ndoa zao na hili eti hudumisha penzi.Ebu wana jamii tulijadili hili kwa wenye maoni zaidi.Mi bado sijaoa hivyo naondoa swala la conflict of interest.
 
Nakushauri ukajadili na vijana wenzako ambao hawajaoa au kuolewa. Au la kawaulize viongozi wa dini yako watakupa mwangaza mzuri.
 
inadumisha penzi? pweeehh..kijana subiri uoe ndio utajua kama ni sahihi au laaahh but jua kwamba haisaidii chochote kwenye kudumisha ndoa.
 
Nimekuelewa lakini usinifikirie vibaya,mi natafuta views za watu waliooa,najua wengi mko radhi kuzungumzia maswala ya tigo haswa nje ya ndoa lakini mnasahau hili jambo(kwa vile lipo sana kwenye jamii tena hufanyika sana)halijadiliwi kwa wenye ndoa wakati lawezekana pia kuwa lipo,ni kama lilivyo swala la ubakaji katika jamii,watu hulizungumza sana haswa linapokuwa nje ya ndoa lakini watu hawazungumzii ubakaji ambao pia upo sana katika ndoa nyingi(wangapi wanarudi na pombe zao kichwani na kuwabaka/kuwaingilia wanawake zao bila ridhaa yao?)
 
Nimekuelewa lakini usinifikirie vibaya,mi natafuta views za watu waliooa,najua wengi mko radhi kuzungumzia maswala ya tigo haswa nje ya ndoa lakini mnasahau hili jambo(kwa vile lipo sana kwenye jamii tena hufanyika sana)halijadiliwi kwa wenye ndoa wakati lawezekana pia kuwa lipo,ni kama lilivyo swala la ubakaji katika jamii,watu hulizungumza sana haswa linapokuwa nje ya ndoa lakini watu hawazungumzii ubakaji ambao pia upo sana katika ndoa nyingi(wangapi wanarudi na pombe zao kichwani na kuwabaka/kuwaingilia wanawake zao bila ridhaa yao?)

sasa c ndo mana ukaambiwa subiri uoe then ndio utajua kama lipo au halipo coz haya mambo ni maamuzi ya wawili mke/mume na chochote kinawezekana pale mnapoamua licha ya huko tu mkiamua hata puani pia.
 
mmnnhh! Makubwa![/QUOTE

mambo vuvuzela, mapenzi hayadumishwi kihivyo wapenz, hiyo c akitaka ataipata tu kama sio kwako kwa mwingine huko nje, hata aumpe nn kama wa kudumu atadumu tu kwa kukupa heshima sio kufanyana mpaka puani cjui mackioni cjui huko kwingine.
 
ukija ktk dini hairuhusiwi ni kosa kubwa sana kuitu100 híi line,ndio maana watu huenda kufanya hivyo nje ya ndoa
 
Ndugu zangu suala hili lipo kuna washkaji ambao walikuwa wanautumia mchezo huo kabla mashori hawajaolewa baada ya kuolewa na watu wengine hutoka nje kuwatafuta masela wapige tigo kwani inakuwa vigumu kuitroduce hiyo ishu kwa waume zao believe me i have seen it in more than 3 couples which u may view it as decent couples kama hujapata nafasi ya kujua undani wao that do exist in our universe tusimbeze sana mshkaji wala tusiipoteze maada kwa kuiangalia juu2
 
Hivi kwani nje ya ndoa tIgO imehalalishwa? Kwa uelewa wangu, yote mawili kwenye rangi hapo yameharamishwa. Kwa hiyo, ndani ya ndoa, dhambi mara moja (na baadhi ya dini ukidokoa tigo mke anawachika automatic), nje ya ndoa dhambi mara mbili.
 
Inamaana ukubali kumnunulia mkeo pampers na madudu mengine utakayoyasababisha kutokana na kutumia tigo hapo mbeleni, na yeye ajiandae kukuhudumia pale mirija ya haja ndogo itakapoziba na kuzibuliwa na uvumilie maumivu ni hayo tu.
 
nakushukuru dan ki dan kwa kuijadili mada poa,ni kweli jambo hili lipo sana hata kwenye ndoa na kwa hakika linaweza kuwa kati ya vyanzo vingi vya watu kutoka nje ya ndoa,kwa maana ya kutafuta tigo,sija halalisha tigo nje ya ndoa kwa wasiooa!bali nimeweka msisitizo kwa waliooa kwani madhara yake yanaongezeka kwenye kundi hili la watu.Pamoja na hayo kwa yule aliyepata nafasi kuongea na manesi wanaofanya kazi kwenye wodi ya uzalishaji(labour ward)wataelewa madhara makubwa wayapatayo wanawake waliopo kwenye ndoa wanaoshiriki tigo na waume zao,watakwambia kuwa mama hushindwa kusukuma mtoto(vile amelegea nyuma na anahitaji akaze msuli)na matokeo watoto wengine hufa kabla ya kuzaliwa au kuathirika vibaya wanapozaliwa kwani wamecheleweshwa pale mama mwathirika anaposhindwa kusukuma,haya ni madhara kwa mama acha pale baba anapoziba njia ya mkojo na kupelekea kuwekewa mrija wa kukojolea kwenye kibofu.Jamani haya mambo tuyajadili kikubwa si kijuujuu kama mnavyofikiri.Achilia mbali ndoa zinazoharibika au kuathiriwa na mchezo huu,nadhani mnaelewa kuwa anayeanza ka mchezo haka akaachi tena(haswa wanawake,sijui hunogewa zaidi?),nategemea mmefunguka.........
 
Hivi wewe muuliza swali umeoa au umeolewa??? Huu nauita ujinga kajadili na vijana wa mitaani sio hapa Tigo???? Umenitia kichefuchefu kabisa tena ndani ya ndoa??? Ha ha ha ha hujakua bado wewe subiri muda wako ufike
 
Hivi wewe muuliza swali umeoa au umeolewa??? Huu nauita ujinga kajadili na vijana wa mitaani sio hapa Tigo???? Umenitia kichefuchefu kabisa tena ndani ya ndoa??? Ha ha ha ha hujakua bado wewe subiri muda wako ufike

Huyo bwana mdogo nina wasiwasi kama ndoa yake itadumu. Inaonekana anapenda sana tigo na mwanamke wa heshima atakushangaa sana ukimtamkia suala la tigo. Kwa ufupi ni kwamba atakushangaa na asiye na simile itakuwa ndiyo sababu ya kuachana na wewe.
.
 
Natumaini mu wazima week end hii,mi naomba mjadili hili swala la mapenzi kinyume cha maumbile(tigo)katika ndoa kwani katika mijadala mingi jambo hili hujadiliwa haswa linapokuwa nje ya ndoa lakini kuna watu walioko kwenye ndoa ambako jambo hili hutokea sana lakini halijadiliwi kwani watu huona kama vile si mahali pake vile!lakini ukweli ni kwamba lipo na wenzetu wazungu hulijadili waziwazi huku baadhi yao wakisema kufurahishwa sana na mchanganyiko wa tigo na ngono mbabadala kwenye ndoa zao na hili eti hudumisha penzi.Ebu wana jamii tulijadili hili kwa wenye maoni zaidi.Mi bado sijaoa hivyo naondoa swala la conflict of interest.

mkuu hivi umeshawahi kujadili namna ya kuvuta bangi hadharani??

grow up kid!!
 
hii mada ingerushwa tu huko jukwaa la wakubwa,kukaa hapa....ni kutetemesha macho yetu.
 
Kwenye Biblia Rejea Sodoma na Gomora ilikuwaje na kwa lipi? Kwenye Quran angalia watu wa Luti walifanywa nini?. Usijaribu iwe nje iwe ndani, Mungu aliangamiza Umma wa watu fulani kwa dhambi hiyo tu!
 
Huyo bwana mdogo nina wasiwasi kama ndoa yake itadumu. Inaonekana anapenda sana tigo na mwanamke wa heshima atakushangaa sana ukimtamkia suala la tigo. Kwa ufupi ni kwamba atakushangaa na asiye na simile itakuwa ndiyo sababu ya kuachana na wewe.
.


Good mwambie usimfiche mweleze ajitambue na ujinga wake anaotaka kuleta hapa
 
Back
Top Bottom