tovuti
Senior Member
- Oct 29, 2009
- 160
- 11
Wadau nilikuwa nataka kukopa milioni 3..., namwachia gari akae nayo mpaka nitakomlipa kwa miezi 2 na rate ya 20%
Sasa huyu jamaa kaniambia nikimwachia gari niwache na kadi yake original, na akaniambia kuwa watu wote
wanaokopesha wanafanya hivyo....
Wadau nilikuwa nauliza kuwa ni sawa? na hapo nitakuwa safe side nikiwacha kadi original ya gari?
Sasa huyu jamaa kaniambia nikimwachia gari niwache na kadi yake original, na akaniambia kuwa watu wote
wanaokopesha wanafanya hivyo....
Wadau nilikuwa nauliza kuwa ni sawa? na hapo nitakuwa safe side nikiwacha kadi original ya gari?