Habarini za leo wana jamii,
Ninaomba msaada ninahitaji ku Unlock Modem ya Airtel Huawei e3531s-1
Asanteni sana.
huenda ni hi-link ndo maana COM-PORTS hazionekani@Njunwa Wamavoko nami naomba msaada kama uo wa mtoa mada,nina modem kama yake ya airtel 3531s-1 ila nimejaribu ku unlock kwa kutumia huawei dc modem unlocker client ila cha kuchangaza ina sema modem not found,pia nimejaribu kutafuta software nyingine inaitwa huawei modem unlocker ila pia haionyeshi com port ili modem iweze kuonekana,hapa mm ndio nina kwama kuendelea ku unlock.
ndio inaomba codeUkiweka laini tofauti na Airtel inaomba code?
uwezekano upo wa kutatua tatizo?huenda ni hi-link ndo maana COM-PORTS
Ukiandika code inakubali kuandikika? Zingine zinaomba ila ukijaribu kuandika zinakataa. Jaribu kuandika km inawezekana. Nikupe njia ya kuunlock.