Msaada ku-improve my airtel modem speed

T3RN3K

Member
May 30, 2011
92
56
guys nmehamia huku mbezi luisi sasa modem yngu impungua speed kinoma (napata EDGE) ! is there any technique i can use to improve the speed!??
 
Nadhani pia speed ya airtel sasa imepungua sana kwa ujumla. Mwenyewe sijaondoka eneo lakini sasa napata EDGE sijui kwa nini speed imekuwa ndogo sana. Hebu tuone wataalamu labda watatupa maujanja
 
Nope natumia airtel mara kwa mara na speed iko POUWA 2 mpaka saa ivi sema kuna vitu viwili kwanza zingatia software ya

kuconnect unayotumia kwasababu kuna option ya iyo software kuchagua kuunga na mtandao gani ambapo kuna 3G na EDGE... 3G ndio hyo ya

speed kubwa sasa kama iko set kuwa iselect automatically hiyo pia sio nzuri sana kwa sababu kinacho angalia ipi katika iyo mitandao 3G au EDGE

iko juu mahala au muda huo na kujiunga mara nyingi EDGE inakuwa iko juu sana na 3G sometimes ina yumba so upon selecting iwe inaunga

automatically utaona SPEED inakuwa slow sana kuringanisha na wakati mwigine ndo maana ukija kwenye dashboard unaona EDGE sasa solution ni

kuforce selection iwe ina uunga kwa 3G tu na sio EDGE... sasa pia hii sio kwamba ndo itakuwa umefanikisha no inategemeana na maeneo sehemu

nyigine hamna kabisa mtandao wa 3G so unaforce na kuona kama itashika na ikishindikana kabisa kushika 3G ndo ui set ikamate EDGE tu... yani

ukiona inashika 3G sometimes au inakuja na kuondoka hii njia inaweza saidia sasa ili labda niweze kuelekeza jinsi ya kuset iwe inashika 3G pekee yake

unge eleza unatumia software ipi ya kuconnect iyo modem na internet.
 
dah! nimejaribu mkuu lakin imekataa, software nayo2mia ni default, (inayokuja na modem ya airtel)!! ninakasimu changu kana 3g natumia tigo naona speed iko poa kuliko voda na airtel ingawa napata EDGE!!!
 
kuna jamaa mmoja alisema inabidi uiweke kwenye sufuria hiyo modem yako unachotakiwa nikununua cable ambayo itaruhusu kufikia hilo sufuria..hapo anakuambia haiwezi kupoteza signal ya 3G hata kidogo try it mkuu..
 
hyo nimejaribu mkuu lakin sikufanikiwa, sijui kwa vile nlkuwa chumbani, coz wanasema 3g signals znawakuwa broked with thickwalls and glass windows! halafu kitu kingine, sikuwa na ile shining cable as someone suggested!!!
 
Back
Top Bottom