Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 18,925
- 49,202
[h=6]nilikua natumia tab yangu ya acer iconia A200 jana, ikawa betry low (5%) so nika plug ktk charge then nikaendelea use. baadae kidogo nika switch off (ikiwa bado ktk charge) then nikaiacha kama nusu saa ikiendelea kuchaji. then nika unplug na kuweka.
asubuhi ya leo nahiwasha haiwaki, nachomeka chaja haioneshi ata dalili za kuingia (kitaa cha kuonesha umeme unaingia hakiwaki).
sijadondosha wala anything else na ni mpya kabisa (less than month old)...[/h]
asubuhi ya leo nahiwasha haiwaki, nachomeka chaja haioneshi ata dalili za kuingia (kitaa cha kuonesha umeme unaingia hakiwaki).
sijadondosha wala anything else na ni mpya kabisa (less than month old)...[/h]