Ndugu unachekesha?Ukweli akuna raha kama kusomea na kufanya kazi ile fani uipendayo!na nnakusikitikia sana ndugu kwani unapoteanahtaj msaada wenu wa coz na zenye dili kwa sasa kwa tuliofaulu HGE o EGM.
nahtaj msaada wenu wa coz na zenye dili kwa sasa kwa tuliofaulu HGE o EGM.[/QU. Unaweza omba AGRICULTURAL ECONOMICS AND AGRIBUSINESS-SUA. Ila mzik wake lazima ujiandae kubundi kama advance, sua ukileta mchezo utamaliza chuo ndan ya mwaka 1
Kwani wakati unaenda kusoma hiyo EGM/HGE uliomba ushauri? kama sio, wakati unachagua comb hiyo ulilenga nini? kifupi timiza malengo yako na sio kulia lia hapa jukwaani.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
nahtaj msaada wenu wa coz na zenye dili kwa sasa kwa tuliofaulu HGE o EGM.
Bwana mdogo, hapa hatutumi SMS wala kuchati.nahtaj msaada wenu wa coz na zenye dili kwa sasa kwa tuliofaulu HGE o EGM.