Marumeso
JF-Expert Member
- Oct 3, 2009
- 1,410
- 1,313
Kuna mwenye data za Kitwana Manara? Nilisikia alikuwa akicheza kama golikipa wa timu ya taifa na wakati huohuo akicheza kama senta fowadi pale Yanga.
Naona kama hadithi tu maana huyu mtu alikuwa ni mtu wa namna gani kucheza maeneo hayo mawili tofauti tena katika kiwango cha juu kabisa?
Mwenye data tafadhali.
Naona kama hadithi tu maana huyu mtu alikuwa ni mtu wa namna gani kucheza maeneo hayo mawili tofauti tena katika kiwango cha juu kabisa?
Mwenye data tafadhali.