Mkuu Retired, ni ngumu lakini habari ya Prof. Soyinka kuamua kufuta green card yake ni funzo kubwa sana kwetu.
Pia hii habari nyingine inayo trend ni 'light on a tunnel'. Ukimsoma sana Mwalimu Nyerere anasema kazi ya ukombozi haikuwahi kuwa rahisi na haihitaji nguvu tu bali inahitaji akili na upeo (vision) zaidi! Mbezeni Lema kwa sasa.
View attachment 442090
Mimi nakemea anachofanyiwa Lema, anaonewa na.... Ananyimwa haki ....... full stop