kweli Mpoki alikuwa Muigizaji sasa hivi ni Mtangazaji,Monalisa pia,kuna yule wa radio free wapo wengi in short hyo Tasnia kwasasa wanaangalia vipajiSiku hizi hiyo sekta watu wanaajiri kwa kuangalia vipaji sana na sio elimu au kama we ni muigizaji ,mchekeshaji au mtu maarufu