msaada:KING'AMUZI KINAZINGUA

brian360

JF-Expert Member
Mar 14, 2012
224
30
Wana jamvi sikielewi hiki king'amuz cha startimes zile non-conax chanel zinaonyesha vizuri lkn hizi zao sasa kila saa zinakwama kwama sielewi tatizo ni mitambo au kwa7bu nakaa nje ya mji lkn..non conax napata bila shida.
 
Hizo ni za agape(ting). Kwa hivyo jibu la haraka tu, antenna yako itakuwa imecheza kidogo au nguvu ya transmission ya startimes imepungua.
 
Hizo ni za agape(ting). Kwa hivyo jibu la haraka tu, antenna yako itakuwa imecheza kidogo au nguvu ya transmission ya startimes imepungua.

kwani huko mjini startimes inazingua kama huku.
 
je tatizo hilo lomeanza lini? kama nimeanza mara ulipomaliza installatiom basi tatizo linaweza kuwa uko mbali na coverage aea ya startimes.. Lakini kama limetokea ghafla basi antennayako imebadili uelekeo au hali ya hewa imesababisha kuwe na mawimbi yasiyo na nguvu..
by Eng Mbako
 
je tatizo hilo lomeanza lini? kama nimeanza mara ulipomaliza installatiom basi tatizo linaweza kuwa uko mbali na coverage aea ya startimes.. Lakini kama limetokea ghafla basi antennayako imebadili uelekeo au hali ya hewa imesababisha kuwe na mawimbi yasiyo na nguvu..
by Eng Mbako

hapana imeanza ghafla tu yaani baada ya ciku ya UEFA ya madrid mpaka leo!
 
Back
Top Bottom