je tatizo hilo lomeanza lini? kama nimeanza mara ulipomaliza installatiom basi tatizo linaweza kuwa uko mbali na coverage aea ya startimes.. Lakini kama limetokea ghafla basi antennayako imebadili uelekeo au hali ya hewa imesababisha kuwe na mawimbi yasiyo na nguvu..
by Eng Mbako