Wadau naomba kujuzwa vp kuna laptop hapa amekuja nayo ndugu yangu betri haifanyi kazi mpaka kutumia power cable(charger) hivi kuna uwezekano wakuirekebisha hii betri ikafanya kazi? Na je kwamfano kununua mpya inakuwa bei gani na ubora wake unakuwaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.