Mkurabitambo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2010
- 230
- 57
waliaga wanaenda nchi za nje kuchunguza balozi za huko na ufanisi wao...kwa kweli waliondoka kwa mbwembwe hata kufikia kuita press pale airport..vp wamerudi? maana hatupati update zozote na Bunge linaendelea