drphone
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 3,542
- 281
jamani naomba mchango wa mawazo kuhusu ndoa hivi mke anapoamua kutelekeza ndoa yake mwenyewe bila kufukuzwa na mume wala kupigwa na kusema sipo tayari kuishi na ww zaidi ya mwaka alafu anakufata anakwambia umpe kiasi fulani cha pesa ili asikupeleke mahakamani mgawane nyumba na gari ambavo akuchangia ata senti moja na anakiri ivyo ila anasema nikigoma atakwenda mbele ya sheria ili mahakama ipige mnada tugawane pasu pasu hii imekaaje wadau naombeni ushauri. ivikweli sheria ndio inavyofanya mke akufanyie makusudi ili mkagawane mali wakati tuna mtoto wa 4yrs