Kiumbe duni
Senior Member
- Dec 3, 2011
- 100
- 8
Wana jamvi, naombeni mwenye kufahamu malipo ya makampuni ya simu yakiweka mnara kwenye uwanja wako.
Wana jamvi, naombeni mwenye kufahamu malipo ya makampuni ya cm yakiweka mnara kwenye uwanja wako.
Inategemea na mahali ulipo, kwani gharama za viwanja zipo tofauti kulingana na sehemu husika. Vilevile inategemea na mahitaji yao kwa hilo eneo lako (kama hawana option). But in any case isipungue laki tano
Minara kimeo sana, labda uwe na eneo kubwa usilolihitaji
niliwahi kukutana na mama mmoja rafiki yangu anahangaika na mkataba wao kwa mawakili, walipoingia mkataba kwenye mwaka 2005 hivi walimwambia malipo laki 5 kwa mwezi wanamlipa kwa mwaka mzima. Akasaini mkataba wa miaka 25, si unajua wanakuja kujenga mnara wao hivyo miaka ilingane na gharama ya ujenzi ili wasipate hasara, Tatizo kodi ni fixed kwa miaka 25, then waliamka tu siku moja na kumwambia wao wanakatwa kodi kubwa kwenye biashara hivyo na wao kuanzia leo ile malipo yao wanaikata kodi mama wa watu li mnara liridhia lijengwe mbele ya nyumba anayoishi hivyo akabaki hana hata sehemu ya kujenga kibanda apangishe au aafuge au kulima bustani, pili hakuna privacy tena unawapa access ya kuingia walinzi wao na kujaza mafuta nk. Mbaya zaidi madhara mengine kama moto na tusiyoyajua kutokana na kuwa na mnara jirani na nyumba
Mpaka leo yule mama kawa kama amechanganyikiwa, malipo yameshuka hadi laki 3 kwa mwezi na hadi miaka 25 ijayo, labda mwingine atupe experince yake
Minara kimeo sana, labda uwe na eneo kubwa usilolihitaji
niliwahi kukutana na mama mmoja rafiki yangu anahangaika na mkataba wao kwa mawakili, walipoingia mkataba kwenye mwaka 2005 hivi walimwambia malipo laki 5 kwa mwezi wanamlipa kwa mwaka mzima. Akasaini mkataba wa miaka 25, si unajua wanakuja kujenga mnara wao hivyo miaka ilingane na gharama ya ujenzi ili wasipate hasara, Tatizo kodi ni fixed kwa miaka 25, then waliamka tu siku moja na kumwambia wao wanakatwa kodi kubwa kwenye biashara hivyo na wao kuanzia leo ile malipo yao wanaikata kodi mama wa watu li mnara liridhia lijengwe mbele ya nyumba anayoishi hivyo akabaki hana hata sehemu ya kujenga kibanda apangishe au aafuge au kulima bustani, pili hakuna privacy tena unawapa access ya kuingia walinzi wao na kujaza mafuta nk. Mbaya zaidi madhara mengine kama moto na tusiyoyajua kutokana na kuwa na mnara jirani na nyumba
Mpaka leo yule mama kawa kama amechanganyikiwa, malipo yameshuka hadi laki 3 kwa mwezi na hadi miaka 25 ijayo, labda mwingine atupe experince yake
Hao mawakili wa huyo mama vimeo! Hivyo ni vitu basic kabisa, ilitakiwa contract iwe inaconsider inflation rate na iseme kama laki 5 ni kabla au baada ya kodi.
Mimi namjua mtu alipewa ofa ya milioni kadhaa nadhani ilikuwa 2 ila sikumbuki vizuri, ila akakataa kwa kuogopa radiation. effect.
Hapa pa kuingia mikataba waTZ wengi tuu wabovu huwa tunakimbilia kusaini pasipokuisoma kwa makini kwanza kabla ya kuanguka saini
Inawezekana, lakini issue ni kuwa kampuni imejitenga na malipo yakaanza kufanywa na wengine ndio hao waliomweleza habari ya kodi
tatizo akijaribu kuomba kumuona meneja wao anakataa au wanamzuia kwakweli kama alikuja fanikiwa kupata haki ni baada ya usumbufu sana
pili kinachoogopesha miaka 25 kwa fixed rate!
Minara kimeo sana, labda uwe na eneo kubwa usilolihitaji
niliwahi kukutana na mama mmoja rafiki yangu anahangaika na mkataba wao kwa mawakili, walipoingia mkataba kwenye mwaka 2005 hivi walimwambia malipo laki 5 kwa mwezi wanamlipa kwa mwaka mzima. Akasaini mkataba wa miaka 25, si unajua wanakuja kujenga mnara wao hivyo miaka ilingane na gharama ya ujenzi ili wasipate hasara, Tatizo kodi ni fixed kwa miaka 25, then waliamka tu siku moja na kumwambia wao wanakatwa kodi kubwa kwenye biashara hivyo na wao kuanzia leo ile malipo yao wanaikata kodi mama wa watu li mnara liridhia lijengwe mbele ya nyumba anayoishi hivyo akabaki hana hata sehemu ya kujenga kibanda apangishe au aafuge au kulima bustani, pili hakuna privacy tena unawapa access ya kuingia walinzi wao na kujaza mafuta nk. Mbaya zaidi madhara mengine kama moto na tusiyoyajua kutokana na kuwa na mnara jirani na nyumba
Mpaka leo yule mama kawa kama amechanganyikiwa, malipo yameshuka hadi laki 3 kwa mwezi na hadi miaka 25 ijayo, labda mwingine atupe experince yake
MKuu uko sahihi, ni kweli kwenye mikataba watu wengi tunakimbilia kusaini, (nadhani ni sababu ya njaa) lakini tuna tatizo kubwa zaidi, Je ni wangapi wanaelewa kile kilichoandikwa kwenye mikataba hiyo kama lugha ni ya kimombo?Hapa pa kuingia mikataba waTZ wengi tuu wabovu huwa tunakimbilia kusaini pasipokuisoma kwa makini kwanza kabla ya kuanguka saini
Sasa hivi gharama zinafika kiasi gani mkuu, kuna kampuni imeonesha interest na eneo languwazungu washatuona kimeo aisee...yaani mnara unawekwa kwenye kiwanja chako alafu unalipwa laki tano kwa mwezi wakati mnara huo mmoja unaingiza zaidi ya mamilioni kadhaa kwa kampuni husika alafu wewe uliye karibu na mnara unadhidi kuathirika na radiation effect ambazo makapuni hayataki kuziweka wazi kila siku...,.this is bull shit..!!
Sasa hivi gharama zinafika kiasi gani mkuu, kuna kampuni imeonesha interest na eneo langu