WanaJf nihabarishen juu ya maada zinazo hit kwenye blog zaid na zinazokubalika(vutia) kwa wasomaji wa blogs? Ni jina gan niipe blog yangu? Na maada gan zitawale? Nataka nifungue blog iliyo bora zaid.
WanaJf nihabarishen juu ya maada zinazo hit kwenye blog zaid na zinazokubalika(vutia) kwa wasomaji wa blogs? Ni jina gan niipe blog yangu? Na maada gan zitawale? Nataka nifungue blog iliyo bora zaid.
Kuhusu mada ni mara nyingi zinazotakiwa kutawala ni mada za fani yako wewe. kama ni datkari, mwanasheria, mganga wa jadi, mwalimu, mfanyabishara, mwanasaikolojia, fundi wa magari. computer technician. Kila taaluma au fani inaweza kuwa topic kibao za kublog
Ukilenga fani yako na mambo unayopenda utapunguza copy and paste lakini kusburi watu wakuamulie mada gani itawale kwenye blog yako utaishia copy and paste ambazo binafsi naona zinatawala blog nyingi. Tena naona blog nyingi ni another version of issa michuzi au blog nyingi ni another version of magazeti.
Kingine kinachweza kuathiri maamuzi yako ya mada ni malengo yako. Je lengo kuu la wewe kuanzisha blog ni nini ? :-
Ni kupata financial gains? kama ni hili hapa suala taaluma yako itabidi uliweke kapuni tafuta kitu wanachopenda watu. Probably watanzania tunapenda Siasa na mahusiano au mapenzi teh teh teh teh . So ukianzisha hivyo vitu ukaimaret vizui utapata watu teh teh teh
Ni just to share knowledge , skiils na life experience zako na jamii basi itabidi uwe na blog ya mambo uliyo compentent nayo . kama ni fnacial gain inaweza kuipata lakini haikuwa lengo kuu. So utakuwa na faida mara dufu.
Angalia nini unapenda kaka,kama ni soka hakikisha uko interest na soka,kama ni computer technology pia jitahidi uwe familiar na mada zako na intention ya kuanzisha hiyo blog!!uamuzi ni wako!Umenisoma natumai!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.