Ya baking powder na kukaanga kwenye mafutaYa hamira au baking power?
Ya oven au ya kuukanga na mafuta?
ukiataka andazi lainiiiiii.jinsi ninavyopika mimi.
MAHITAJI:
Unga wa ngano,sukari,hamira,siagi kidogo sana,sukari,hiliki na tui na lazi.
JINSI YA KUANDAA:
Unachunga unga wako{tatizo langu nikipika huwa nakisia}ukishakuwa tayari unatia tui la nazi,sukari,hamira kama kijiko kikubwa kimoja, siagi kama kijiko kidogo kimoja na hiliki.unga ukishakandika unaufunika na unauacha mpaka uumuke.ukishaumuka unasukuma, usiwe flat kama chapati,uwe mzito kidogo.unakata shape unayoitaka.
unachukua karai unatia mafuta,yakishapata moto{moto usiwe mkali ukiwa mkali maandazi hayatoiva ndani}unachoma maandazi yako.
kwa upande wangu mimi,maandazi siweki baking powder.baking powder inavimbisha,hamira huwa inatosha.kwani hamira inaumusha maandaziAsante sana ila kuna kitu bado kinanichanganya, does it mean ukiweka hamira huweki baking powder? Au unaweza weka vyote?
Ya hamira au baking power?
Ya oven au ya kuukanga na mafuta?
maandazi ya oven yakoje yakhe?
maandazi ya oven yakoje yakhe?
unatakiwa kuukanda unga mpaka uwe laini.kwa hayo maelezo yangu,mimi napika sana maandazi na huwa yanakuwa laini.yakishapoa yafunike.mie mbona huwa nafata hayo yote mandazi yanakuwa magumu why?
mie mbona huwa nafata hayo yote mandazi yanakuwa magumu why?