komredi ngosha
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 382
- 71
kompyuta yangu ina os 2, moja ya linux na siitaki ila nashindwa kuitoa, nikifungua os ya windows files zake sizioni. Msaada pls!
kompyuta yangu ina os 2, moja ya linux na siitaki ila nashindwa kuitoa, nikifungua os ya windows files zake sizioni. Msaada pls!
Mkuu ingekuwa vizuri ukifafanua umeinstall linux version ipi na kwa njia gani.pia kujua unatumia windows gani.Niliata maswahibu kama hili nikasolve, nilikuwa ubuntu 11.04 na win7kompyuta yangu ina os 2, moja ya linux na siitaki ila nashindwa kuitoa, nikifungua os ya windows files zake sizioni. Msaada pls!
kompyuta yangu ina os 2, moja ya linux na siitaki ila nashindwa kuitoa, nikifungua os ya windows files zake sizioni. Msaada pls!
na mimi hiyo hiyo 11, win 7. Sikuweka mimi, my frnd dd na hayupo kwa sasaMkuu ingekuwa vizuri ukifafanua umeinstall linux version ipi na kwa njia gani.pia kujua unatumia windows gani.Niliata maswahibu kama hili nikasolve, nilikuwa ubuntu 11.04 na win7
cd rom imekufa, huku kijijini nilipo siwezi kupata external cd romNjia rahisi kabisa ni hii:.Chukua CD ya WindowsBoot na Windows CD,Then ukifika kwenye partition.Delete All linux Partitions.Then Stop installation. and Restart you compKama inasumbua unaweza kuinstall windows baada ya kudelete linux partition, than baadae delete partition ya new installed windows.
Mkuu tembelea link hii How To Safely Uninstall Ubuntu From A Windows Dual-Boot PCna mimi hiyo hiyo 11, win 7. Sikuweka mimi, my frnd dd na hayupo kwa sasa