Msaada>> Jinsi ya kuondoa jar applications kwenye simu

YEYE

JF-Expert Member
Nov 12, 2011
437
72
Natumia Nokia E51, kuna application nilizi install kila nikizitoa zinagoma na nyingine hazi respond kabisa., Njia ninayotumia ku uninstall ni menu>> app mng>>remove. Apps zenyewe ni snaptu, facebook, thief alarm na baadhi ya theme nilizodownload toka ownskin.com, ila hz nyingine za sis na sisx zinatoka bila usumbufu
 
Natumia Nokia E51, kuna application nilizi install kila nikizitoa zinagoma na nyingine hazi respond kabisa., Njia ninayotumia ku uninstall ni menu>> app mng>>remove. Apps zenyewe ni snaptu, facebook, thief alarm na baadhi ya theme nilizodownload toka ownskin.com, ila hz nyingine za sis na sisx zinatoka bila usumbufu

Sina jibu ila jaribu hivi

1) jaribu ku install tena hizo software uzioverwrite then jaribu ku un install

2) kama uli install software katika memory card jaribu kuingiza memory card kwenye s60v3 simu design yake ie. N73, n95, e71, e72, e5, e75, n80, 5370 na zengine kama hizo

3) jaribu kutoa memory card kwa mda then rudisha halafu jaribu ku uninstall

4) kuna software zipo za ku unistall but ni unsigned [NokiaVNN.com] app Uninstall v1.3.0 unaweza search kama ipo signed yake na kama una certificate unaweza isign

5) kama umeshindwa yote fanya hard reset toa memory card then zima simu bonyeza nyota (*) namba tatu (3) na button ya kupigia simu (ya kijani) kwa mpigo then washa simu

Onyo: ukifanya hard reset ni sawa na kuflash utapoteza data zote
 
Sina jibu ila jaribu hivi

1) jaribu ku install tena hizo software uzioverwrite then jaribu ku un install

2) kama uli install software katika memory card jaribu kuingiza memory card kwenye s60v3 simu design yake ie. N73, n95, e71, e72, e5, e75, n80, 5370 na zengine kama hizo

3) jaribu kutoa memory card kwa mda then rudisha halafu jaribu ku uninstall

4) kuna software zipo za ku unistall but ni unsigned [NokiaVNN.com] app Uninstall v1.3.0 unaweza search kama ipo signed yake na kama una certificate unaweza isign

5) kama umeshindwa yote fanya hard reset toa memory card then zima simu bonyeza nyota (*) namba tatu (3) na button ya kupigia simu (ya kijani) kwa mpigo then washa simu

Onyo: ukifanya hard reset ni sawa na kuflash utapoteza data zote

Mkuu hii ya ku install tena nimeshajaribu appl inaingia tena hai detect iliyokuwepo! Tatizo nilizi instal kwenye internal memory! Ngoja nitest hy app uliyoniambia, but thanx kwa msaada wako
 
Back
Top Bottom