Mrimi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,691
- 633
Jamani mimi nilichukua line ya Airtel mwezi mmoja na nusu uliopita wakaniambia wameniunga na promo hiyo. Baada ya hapo sikutumia tena line hiyo, sasa leo nimeweka hela nikaanza kutumia lakini naona imekata hela yote. Swali je ni kila wiki ninatakiwa kujiunga? Na, je ninajiunga vipi, maana siku ile waliniungia wenyewe na wakasema kila kitu fresh na kweli ilikuwa inapiga mzigo fresh.
Msaada tafadhali.
Msaada tafadhali.