Msaada Jinsi ya Kuflash Samsung Solstice A887.

Digaller

JF-Expert Member
Oct 20, 2009
745
427
WanaJamvi.

Nimenunua Samsung A887, Wakati naitumia kwenye internet ghafla ikazima, nilipojaribu kuiwasha ikawa inawaka na kujizima yenyewe tendo ambalo linajirudia mara kwa mara mpaka nilipoamua kuizima moja kwa moja. Nimejaribu njia mbalimbali za kutaka kuiflash lakini nimeshindwa sababu kila flashing file file ninalodownload linakuwa halijatimia. Kwa kifupi nimedownload kama mara 6 lakini zote nimeambulia patupu.

Naleta kwenu wana Jamvi kama kuna mtu yeyote anaefahamu jinsi ya kupata file kama hili au njia zake za kuflash basi tupeane ujuzi.
 
WanaJamvi.

Nimenunua Samsung A887, Wakati naitumia kwenye internet ghafla ikazima, nilipojaribu kuiwasha ikawa inawaka na kujizima yenyewe tendo ambalo linajirudia mara kwa mara mpaka nilipoamua kuizima moja kwa moja. Nimejaribu njia mbalimbali za kutaka kuiflash lakini nimeshindwa sababu kila flashing file file ninalodownload linakuwa halijatimia. Kwa kifupi nimedownload kama mara 6 lakini zote nimeambulia patupu.

Naleta kwenu wana Jamvi kama kuna mtu yeyote anaefahamu jinsi ya kupata file kama hili au njia zake za kuflash basi tupeane ujuzi.

mkuu japo sijakuelewa vzuri mafail yanakuwa ayajatimia kivipi? je unajua namna ya kuiflash? je simu inasoma kwenye pc? nijibu hayo kisha tuendelee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom