Webb
JF-Expert Member
- Oct 4, 2016
- 425
- 883
Wakuu mimi elimu yangu ni kidato cha 6,nina mpango wa kuanzisha kampuni yenye mtaji wa million 3. Biashara sio mpya, bali naongeza mtaji na kuifanya kampuni. Process baadhi nazijua, za kwenda BRELA, TRA na kwa MWANASHERIA.
TATIZO
Sijui nitaendeshaje iyo kampuni kwa msingi wa utawala, mimi nataka niajili mtu mmoja tu ambae atafanya kazi ya u secretary na uhasibu sasa sijui kama itawezekana kampuni ya namna hii. Naomba mnipe faida na changamoto za kampuni ya namna hii.
TATIZO
Sijui nitaendeshaje iyo kampuni kwa msingi wa utawala, mimi nataka niajili mtu mmoja tu ambae atafanya kazi ya u secretary na uhasibu sasa sijui kama itawezekana kampuni ya namna hii. Naomba mnipe faida na changamoto za kampuni ya namna hii.