mkuu unapotaka kudownload video ktk net kunanjia mbali mbali waweza kufanya.wanajamii habari zenu binafsi,Wajamii mimi nilikuwa naomba msaada kwa wataalam ni kwamba nihatua zipi muafaka ambazo napaswa kufuata ninapotaka kudaload video ama musiki na je unapodaload nikiasi gani cha unit katika internet kinatumika ni hilo tu nawakilisha.
'daload'?....napita tu!
Una maanisha umefanikwa kuinstall IDM na umefanikiwa kudowanload hizo video ila huwezi kuziplay?mkuu nashukuru nimefanikiwa kwa hatua ulizoelekeza jinsi ya kufanya ila tazizo baada ya download nimeinstall katika pc pindi ninapo play inakataa kuplay so nafikiri kuna any support need ili iwezekuplay so sijui hapo unanisaidiaje mkuu.
paulss nimefurahi sana jinsi ulivyomsaidia jamaa asee ila kuna kitu kimoja na mimi ningependa kujua... hivi unafanyaje mpaka unakua na uwezo wa kuweka hiyo note hapo ambayo inatoa link ya moja kwa moja kwenda kwenye site ya kitu mtu anachotaka kudownload au kwenye site husika..? hasa ni steps gani unafanya ningependa kufahamu...!Una maanisha umefanikwa kuinstall IDM na umefanikiwa kudowanload hizo video ila huwezi kuziplay?
Ok nikweli video nyingine hazikubali kuplay na Windows meadia player na meadia player zingine.
Unatakiwa kudowanload na kuinstall VCL (Click hapa kudownload VLC media player) hapo utaweza kuplay video hizo
Mkuu rahisi sana unaenda katika site husika ya kitu unachotaka kulink kisha una right click kisha una copy link location, baada ya hapo unarudi katika post yako una paste, baada ya kupaste unaweza ku edit isomeke unavyotaka.paulss nimefurahi sana jinsi ulivyomsaidia jamaa asee ila kuna kitu kimoja na mimi ningependa kujua... hivi unafanyaje mpaka unakua na uwezo wa kuweka hiyo note hapo ambayo inatoa link ya moja kwa moja kwenda kwenye site ya kitu mtu anachotaka kudownload au kwenye site husika..? hasa ni steps gani unafanya ningependa kufahamu...!
Mkuu rahisi sana unaenda katika site husika ya kitu unachotaka kulink kisha una right click kisha una copy link location, baada ya hapo unarudi katika post yako una paste, baada ya kupaste unaweza ku edit isomeke unavyotaka.
NB kama unataka direct downloading link kama nilivyo fanya unahakikisha katika site unayotaka kulink unacopy link location katika ile sehemu iliyoandikwa download, ambayo uki click ndio unaanza kudownload.
Sijui kama umenipata uzuri
ukiisha copy link hapo juu kwenye editor yako kuna icon ya dunia, click na u paste link kisha press ok. Katikati ya url tags weka unachotaka kionekane. Mfano huu hapa, replace < with [ and > with ]
<URL='http://google.com'>Go to GoOgLe</URL>
uki replace inakuwa hivi
Go to GoOgLe
Ubarikiweukiisha copy link hapo juu kwenye editor yako kuna icon ya dunia, click na u paste link kisha press ok. Katikati ya url tags weka unachotaka kionekane. Mfano huu hapa, replace < with [ and > with ]
<URL='http://google.com'>Go to GoOgLe</URL>
uki replace inakuwa hivi
Go to GoOgLe
Naona sasa upo fit, hata link zako ziko sawa sasaasante mpendwa,
nami nimepata kitu hapa, hebu ngoja nitest : click HAPAutaibukia GOOGLE na click PALE utaibukia BBC, na huku utafika kwa shigongo!
let me see if it works!
problem encountered!
Mpendwa Pauss,
mbona nimefanya kama hapo kwenye red ikakubali link lakini nikiclick inaenda HAPA.co.tz badala ya googlr.co.tz kama nilivyokusudia?
msaada tafadhari mpendwa
ubarikiwe
updates
wapendwa,
nimefanikiwa kutatua hili tatizo kwa msaada wa Hossana Tech kama alivyoutoa hapo chini. shukrani sana na Mungu awabariki nyote
Naona sasa upo fit, hata link zako ziko sawa sasa