tabibumtaratibu
JF-Expert Member
- May 29, 2011
- 2,405
- 1,181
wakuu naombe mnipe njia au mnisaidie 3117500 kwenda kwenye asilimia nafanyaje.au kwa anaefahamu aniambie ni hzo pesa ni % ngapi!
Usihangaike na % kwani hata kama ada ni sh 1,600,000. utakachofanya ni kuhakikisha pesa nyingine unafidia ada. sahau kuhusu % maana kumejaa ukiritimba
katika 3117500 kwanza kabisa toa stipend (hela ya chakula na malazi ambayo kwa mwaka ni 1875000 (3117500-1875000= 1242500). Katika 1242500 iliyobaki baada ya kutoa hela ya chakula toa tena hela ya vitabu ambayo ni sh. 200000 kwa mwaka (1242500-200000=1042500). Sasa kama kozi yako inahitaji field kwa mwaka wa kwanza ambapo mara nyingi ni sh. 600000 kwa miezi miwili hivyo uitoe katika 1042500 (1042500-600000=442500). Baada ya kutoa hayo yote hela inayobaki ndo percent ya ada ambapo kwa kesi hii ni sh 442500. na kama kwa mwaka wa kwanza aingekuwa na field then percent yake ya ada ingekuwa 1042500. sasa chukua hela iliyobaki let say 442500 gawanya kwa ada ya mwaka ya chuo letsay kama BAED UDSM ni sh. 1000000 mara 100 nadhani hapo utapata asilimia
katika 3117500 kwanza kabisa toa stipend (hela ya chakula na malazi ambayo kwa mwaka ni 1875000 (3117500-1875000= 1242500). Katika 1242500 iliyobaki baada ya kutoa hela ya chakula toa tena hela ya vitabu ambayo ni sh. 200000 kwa mwaka (1242500-200000=1042500). Sasa kama kozi yako inahitaji field kwa mwaka wa kwanza ambapo mara nyingi ni sh. 600000 kwa miezi miwili hivyo uitoe katika 1042500 (1042500-600000=442500). Baada ya kutoa hayo yote hela inayobaki ndo percent ya ada ambapo kwa kesi hii ni sh 442500. na kama kwa mwaka wa kwanza aingekuwa na field then percent yake ya ada ingekuwa 1042500. sasa chukua hela iliyobaki let say 442500 gawanya kwa ada ya mwaka ya chuo letsay kama BAED UDSM ni sh. 1000000 mara 100 nadhani hapo utapata asilimia
Wacha na mimi niji calculetie
My Total Loan amount id 4,502,500
toa hela ya accommodation(1,875,00)
4,502,500-1,875,000=2,627,500
toa stationary fee (200,009)
2,627,500-200,000=2,427,500
toahela ya field(600,000)
2,427,500-600,000=1,827,500
toa ada(1,500,000)
1,827,500-1,500,00=3275,500
sasa hiyo inayo baki ni ya nini?/
Wacha na mimi niji calculetie
My Total Loan amount id 4,502,500
toa hela ya accommodation(1,875,00)
4,502,500-1,875,000=2,627,500
toa stationary fee (200,009)
2,627,500-200,000=2,427,500
toahela ya field(600,000)
2,427,500-600,000=1,827,500
toa ada(1,500,000)
1,827,500-1,500,00= 3275,500
sasa hiyo inayo baki ni ya nini?/
Wacha na mimi niji calculetie
My Total Loan amount id 4,502,500
toa hela ya accommodation(1,875,00)
4,502,500-1,875,000=2,627,500
toa stationary fee (200,009)
2,627,500-200,000=2,427,500
toahela ya field(600,000)
2,427,500-600,000=1,827,500
toa ada(1,500,000)
1,827,500-1,500,00= 3275,500
sasa hiyo inayo baki ni ya nini?/
hebu ngoja na mimi
mkopo 3,952,500
toa accomodation and meals
3,952,500-1,875,000=2,077,500
toa stationary
2,077,500-200,000=1,877,500
toa pesa ya field(sijui ipo mwaka wa kwanza)
1,877,500-600,000=1,277,500
sasa inayobaki ni ya ada hebu niweke kwa percentage
1,277,500/1,750,000 times 100=73%
nimelamba asilimia 73
thanks God...now son of peasant is going to college.
Wacha na mimi niji calculetie
My Total Loan amount id 4,502,500
toa hela ya accommodation(1,875,00)
4,502,500-1,875,000=2,627,500
toa stationary fee (200,009)
2,627,500-200,000=2,427,500
toahela ya field(600,000)
2,427,500-600,000=1,827,500
toa ada(1,500,000)
1,827,500-1,500,00= 3275,500
sasa hiyo inayo baki ni ya nini?/
kilaza hujui mathe ....
Wacha na mimi niji calculetie
My Total Loan amount id 4,502,500
toa hela ya accommodation(1,875,00)
4,502,500-1,875,000=2,627,500
toa stationary fee (200,009)
2,627,500-200,000=2,427,500
toahela ya field(600,000)
2,427,500-600,000=1,827,500
toa ada(1,500,000)
1,827,500-1,500,00= 327,500
sasa hiyo inayo baki ni ya nini?/
Hujatuambia ni chuo gani unakwenda. Pia usisahau kuwa hizo ni estimated costs kulingana na fani utakayo soma
ungepata prospectus ya chuo ndio utajua gharama halisi ya ya kozi kwa sababu ndipo wanakoelezea vmambo mbalimbali yanayofanyika kwenye kozi, muda gani na gharama zakeNaenda Mining Engineering UDOM, mkuu