msaada jinsi ya kuconvert loan(kias cha pesa) kwenda kwenye %

tabibumtaratibu

JF-Expert Member
May 29, 2011
2,405
1,181
wakuu naombe mnipe njia au mnisaidie 3117500 kwenda kwenye asilimia nafanyaje.au kwa anaefahamu aniambie ni hzo pesa ni % ngapi!
 
usijisumbue inategemeana na ada n sh ngap na usifikir unapewa izo ela meku sahau tena sana zm2 zinaenda chuon
 
Usihangaike na % kwani hata kama ada ni sh 1,600,000. utakachofanya ni kuhakikisha pesa nyingine unafidia ada. sahau kuhusu % maana kumejaa ukiritimba
 
katika 3117500 kwanza kabisa toa stipend (hela ya chakula na malazi ambayo kwa mwaka ni 1875000 (3117500-1875000= 1242500). Katika 1242500 iliyobaki baada ya kutoa hela ya chakula toa tena hela ya vitabu ambayo ni sh. 200000 kwa mwaka (1242500-200000=1042500). Sasa kama kozi yako inahitaji field kwa mwaka wa kwanza ambapo mara nyingi ni sh. 600000 kwa miezi miwili hivyo uitoe katika 1042500 (1042500-600000=442500). Baada ya kutoa hayo yote hela inayobaki ndo percent ya ada ambapo kwa kesi hii ni sh 442500. na kama kwa mwaka wa kwanza aingekuwa na field then percent yake ya ada ingekuwa 1042500. sasa chukua hela iliyobaki let say 442500 gawanya kwa ada ya mwaka ya chuo letsay kama BAED UDSM ni sh. 1000000 mara 100 nadhani hapo utapata asilimia
 
katika 3117500 kwanza kabisa toa stipend (hela ya chakula na malazi ambayo kwa mwaka ni 1875000 (3117500-1875000= 1242500). Katika 1242500 iliyobaki baada ya kutoa hela ya chakula toa tena hela ya vitabu ambayo ni sh. 200000 kwa mwaka (1242500-200000=1042500). Sasa kama kozi yako inahitaji field kwa mwaka wa kwanza ambapo mara nyingi ni sh. 600000 kwa miezi miwili hivyo uitoe katika 1042500 (1042500-600000=442500). Baada ya kutoa hayo yote hela inayobaki ndo percent ya ada ambapo kwa kesi hii ni sh 442500. na kama kwa mwaka wa kwanza aingekuwa na field then percent yake ya ada ingekuwa 1042500. sasa chukua hela iliyobaki let say 442500 gawanya kwa ada ya mwaka ya chuo letsay kama BAED UDSM ni sh. 1000000 mara 100 nadhani hapo utapata asilimia

umesomeka fresh mkuu...
 
katika 3117500 kwanza kabisa toa stipend (hela ya chakula na malazi ambayo kwa mwaka ni 1875000 (3117500-1875000= 1242500). Katika 1242500 iliyobaki baada ya kutoa hela ya chakula toa tena hela ya vitabu ambayo ni sh. 200000 kwa mwaka (1242500-200000=1042500). Sasa kama kozi yako inahitaji field kwa mwaka wa kwanza ambapo mara nyingi ni sh. 600000 kwa miezi miwili hivyo uitoe katika 1042500 (1042500-600000=442500). Baada ya kutoa hayo yote hela inayobaki ndo percent ya ada ambapo kwa kesi hii ni sh 442500. na kama kwa mwaka wa kwanza aingekuwa na field then percent yake ya ada ingekuwa 1042500. sasa chukua hela iliyobaki let say 442500 gawanya kwa ada ya mwaka ya chuo letsay kama BAED UDSM ni sh. 1000000 mara 100 nadhani hapo utapata asilimia

asante sana mkuu me nakwenda kusoma law ada ni 1300000,mzumbe nimekuelewa sana
 
Wacha na mimi niji calculetie

My Total Loan amount id 4,502,500
toa hela ya accommodation(1,875,00)
4,502,500-1,875,000=2,627,500
toa stationary fee (200,009)
2,627,500-200,000=2,427,500
toahela ya field(600,000)
2,427,500-600,000=1,827,500
toa ada(1,500,000)
1,827,500-1,500,00= 327,500
sasa hiyo inayo baki ni ya nini?/
 
Wacha na mimi niji calculetie

My Total Loan amount id 4,502,500
toa hela ya accommodation(1,875,00)
4,502,500-1,875,000=2,627,500
toa stationary fee (200,009)
2,627,500-200,000=2,427,500
toahela ya field(600,000)
2,427,500-600,000=1,827,500
toa ada(1,500,000)
1,827,500-1,500,00=3275,500
sasa hiyo inayo baki ni ya nini?/

hapo umekosea mkuu ni 327,500
 
Wacha na mimi niji calculetie

My Total Loan amount id 4,502,500
toa hela ya accommodation(1,875,00)
4,502,500-1,875,000=2,627,500
toa stationary fee (200,009)
2,627,500-200,000=2,427,500
toahela ya field(600,000)
2,427,500-600,000=1,827,500
toa ada(1,500,000)
1,827,500-1,500,00= 3275,500
sasa hiyo inayo baki ni ya nini?/

mkuu embu fata muongozo wa kidundulima utapata jibu kumbuka ada haitolewi inagawanywa na kiasi kilichobaki then unazidisha 100
 
hebu ngoja na mimi
mkopo 3,952,500

toa accomodation and meals
3,952,500-1,875,000=2,077,500

toa stationary
2,077,500-200,000=1,877,500

toa pesa ya field(sijui ipo mwaka wa kwanza)
1,877,500-600,000=1,277,500

sasa inayobaki ni ya ada hebu niweke kwa percentage

1,277,500/1,750,000 times 100=73%

nimelamba asilimia 73

thanks God...now son of peasant is going to college.
 
Wacha na mimi niji calculetie

My Total Loan amount id 4,502,500
toa hela ya accommodation(1,875,00)
4,502,500-1,875,000=2,627,500
toa stationary fee (200,009)
2,627,500-200,000=2,427,500
toahela ya field(600,000)
2,427,500-600,000=1,827,500
toa ada(1,500,000)
1,827,500-1,500,00= 3275,500
sasa hiyo inayo baki ni ya nini?/

kilaza hujui mathe ....
 
hebu ngoja na mimi
mkopo 3,952,500

toa accomodation and meals
3,952,500-1,875,000=2,077,500

toa stationary
2,077,500-200,000=1,877,500

toa pesa ya field(sijui ipo mwaka wa kwanza)
1,877,500-600,000=1,277,500

sasa inayobaki ni ya ada hebu niweke kwa percentage

1,277,500/1,750,000 times 100=73%

nimelamba asilimia 73

thanks God...now son of peasant is going to college.

mshukuru mungu sana mkuu coz kuna wengine saiv wanalia
 
Wacha na mimi niji calculetie

My Total Loan amount id 4,502,500
toa hela ya accommodation(1,875,00)
4,502,500-1,875,000=2,627,500
toa stationary fee (200,009)
2,627,500-200,000=2,427,500
toahela ya field(600,000)
2,427,500-600,000=1,827,500
toa ada(1,500,000)
1,827,500-1,500,00= 3275,500
sasa hiyo inayo baki ni ya nini?/

ni 327,500 may be itakuwa ya special faculty requirement(japo nahisi ni nyingi sana)...
 
Wacha na mimi niji calculetie

My Total Loan amount id 4,502,500
toa hela ya accommodation(1,875,00)
4,502,500-1,875,000=2,627,500
toa stationary fee (200,009)
2,627,500-200,000=2,427,500
toahela ya field(600,000)
2,427,500-600,000=1,827,500
toa ada(1,500,000)
1,827,500-1,500,00= 327,500
sasa hiyo inayo baki ni ya nini?/

Hujatuambia ni chuo gani unakwenda. Pia usisahau kuwa hizo ni estimated costs kulingana na fani utakayo soma
 
Back
Top Bottom