hiyo haijafungwa mbona inaingia line yoyote(ya cdma).
Unatakiwa uelewe concept hii tanzania kuna aina 2 za technology ya line gsm na cdma.
Gsm ni mitandao ya voda,tigo,airtel na zantel
Cdma ni mitandao ya zantel(modem),sasatel na ttcl.
So modem za zantel ni cdma hazitakubali gsm ila siku ttcl au sasatel wakitoa line basi zitakubali modem ya zantel
Asante sana mkuu, nimekuelewa sana!