CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Nunua line mpya
wana jf naombeni mnisaidie jinsi ya kublock no ya simu kama sitaki anipate hewani angali no zingine zinanipata
Acha ukofongo wewe! Unampenda lakini u mdhaifu, Kama utaki kuongea Naye you simply dont pick her phone!
njia rahisi zaid..
download karpesky mobile antivirus. iyo ina kila kitu yaan calls &sms filters namaanisha black list na white list.
sasa kaspersky for mobile ina promo ya 7days zikisha hzo wanataka keyz so kama una keyz za kaspersky for mobile tusaidiane mm ilinishinda hpo2!
divert namba yako kwenye namba hiyohiyo yako-eg no yako ni 0713100100,njo kwenye divert calls then uidivert kwenye namba hiyohiyo-watu wote wakikupigia itabidi warudie hata mara 5 au na zaid ndo wakupate-maana wataambiwa namba unayopiga haipo-ichunguze tena-japokuwa inaweza kuita kwake mara moja tu then akaambiwa hayo maneno-kwako wewe utaona kama amekubip-
mi nishaitumia hiyo njia-inapunguza usumbufu-maana mtu akibipu ujue kwake kapiga na kaambiwa hio namba haipo.
tatizo la hii njia ni kwamba inabid wale watu muhimu ukiona wanakupigia then inaingia as missed call-wewe ndo unatakiwa uwapigie-then utasingiuzia mtandao.
SMS zinakuwa zinafika pasipo tatizo
sasa kaspersky for mobile ina promo ya 7days zikisha hzo wanataka keyz so kama una keyz za kaspersky for mobile tusaidiane mm ilinishinda hpo2!
Tafadhali msiblock mawasiliano kukwepa madeni
Kwa Airtel inawezekana... divert kwenda no inayozidi no 10 hapo kila wakikupgia wataambia no sio sahihi ila texts zinafika.. mitandao mingne cjui kama atajibiwa no sio sahihi hasa voda wana kiherehere watamwambia ume divert kwenda no ingine...Application nyingi zina blacklist tu kawaida! Yaani mtu akipiga anaambia "ndugu mteja namba inatumika kwa sasa" (hapo atajua)
Anaejua namna ya kublock yaani akipiga simu ijikate au aambiwe namba haipo! anisonteshee
voda wana kiherehereKwa Airtel inawezekana... divert kwenda no inayozidi no 10 hapo kila wakikupgia wataambia no sio sahihi ila texts zinafika.. mitandao mingne cjui kama atajibiwa no sio sahihi hasa voda wana kiherehere watamwambia ume divert kwenda no ingine...