Bitabo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 1,900
- 687
Wadau.
Nyumbani kwangu mabomba yanatoa maji ya chumvi japo huwa yanaingia kwenye reservoir then na pump kwenye tank ndo yanaingia ndani.
Sasa natafuta utaalam wa kuyabadili haya maji chumvi ili yawe maji laini (bila chumvi) au maji baridi kama yanavyofahamika kwa wengine.
Ntashukuru zaidi kama mtanishauri na side effects kwa njia mtakazonishauri.
Nawasilisha
Nyumbani kwangu mabomba yanatoa maji ya chumvi japo huwa yanaingia kwenye reservoir then na pump kwenye tank ndo yanaingia ndani.
Sasa natafuta utaalam wa kuyabadili haya maji chumvi ili yawe maji laini (bila chumvi) au maji baridi kama yanavyofahamika kwa wengine.
Ntashukuru zaidi kama mtanishauri na side effects kwa njia mtakazonishauri.
Nawasilisha