1step forward
New Member
- Jun 27, 2012
- 1
- 0
Habari GT's,mm ni kijana wa mwaka wa tatu ktk chuo kikuu kimoja nchini,nna wazo la kuandka ktabu cha course moja wapo ktk masomo yng,naomba msaada wenu ma GT's juu ya nin natakiwa nifanye ikiwemo procedures za kuandka hik ktabu,Natangulza shukrani
1step Forward
1step Forward