Skillseeker
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 225
- 34
habari za kwenu wanaJF,
naombeni mnisaidie niweze kujua jinsi ya kuaccess computer yangu nikiwa popote. Yani kama nikiiacha inawaka nyumbani basi nikiwa kazini niweze kuiaccess na niwe naitumia utadhani nipo nayo...
Nahisi nimeeleweka..naomba msaada..
natumia windows7 ultimate..
naombeni mnisaidie niweze kujua jinsi ya kuaccess computer yangu nikiwa popote. Yani kama nikiiacha inawaka nyumbani basi nikiwa kazini niweze kuiaccess na niwe naitumia utadhani nipo nayo...
Nahisi nimeeleweka..naomba msaada..
natumia windows7 ultimate..