Msaada jf

nyondoloja

Senior Member
Nov 10, 2010
189
52
Nina laptop DELL Vostro ambayo ina windows 7, namimi nilikuwa nataka kuitoa windows 7 niweke windows xp lakini inagoma kuload windows xp
Naomba mnisaidie nifanyeje ili niweze ku load windows xp?
 
Computer uliponunua ilikuwa na Windows gani?

Kumbuka kuwa computer nyingi zinazotoka sasa zina support Windows 7 pekee yake.

Pia Inawezekana windows xp yako sio Original so kuna drivers zina miss ndio maana haikubali.

Pia inawezekana hiyo CD/DVD yako haisomeki kwenye CD/DVD ROM ya computer yako.


Pia kwanini unataka XP kwa sasa?

Karibu.
 
Nina laptop DELL Vostro ambayo ina windows 7, namimi nilikuwa nataka kuitoa windows 7 niweke windows xp lakini inagoma kuload windows xp
Naomba mnisaidie nifanyeje ili niweze ku load windows xp?

Huwezi kudowngrade windows 7 kwenda vista au XP . Unachoweza kufanya ni fresh installtion ya ambayo itaformat mashine yako. Japo sijaupata vizuri unaposema inashinwa kuload una maanisha nini nadhani tatizo unataka kuistall XP huku window7 ikiwa active kwenye mashine yako(Downgrage). Ingekuwa ni Upgrade( XP to vista or windows7) inawezekana lakini si Downgrade......

So back up ya data na formta mashine yako

Msikilize na mtazame huyu dogo




BTN
kwa nini unarudi kwenye XP ?


Computer uliponunua ilikuwa na Windows gani?

Kumbuka kuwa computer nyingi zinazotoka sasa zina support Windows 7 pekee yake.

Pia Inawezekana windows xp yako sio Original so kuna drivers zina miss ndio maana haikubali.

Pia inawezekana hiyo CD/DVD yako haisomeki kwenye CD/DVD ROM ya computer yako.


Pia kwanini unataka XP kwa sasa?

Karibu.

Mwaswali uliyomuuliza kama angefafanua vizuri anaposema inashinw kuload anapa aujumbe gani hasa ingepedeza .So far nenno "kushindwa Kuload" inabidi watu waanze kubahatisha.

  • CD inazunguka tu kwenye Drive
  • CD inaanza na kufika hatua fulani inshindwa uendela bila ujumbe wowote na mashine inajirestart
  • kuna error inatokea
 
Last edited by a moderator:
Zing ...
Anchotaka kufanya huyu ndugu ni fresh installation ya win xp(just check maelezo yake) hivyo up or down grade haina impact hapo.
 
Zing ...
Anchotaka kufanya huyu ndugu ni fresh installation ya win xp(just check maelezo yake) hivyo up or down grade haina impact hapo.

ebu labda we nifafanulie akisema imegoma kuload ana maana gani?
  • An restart mshine huku CD ya XP ikiwa kwenye computer inashindwa Kuload?- (Fresh installatin inagoma) mfano huu ni kama clip nilyoweka pale juu
  • Au anaweka CD ya XP huku mashine ikiwa imewaka na windows 7 na lakini inashiwdwa installtion sababu windows 7 ina detect anataka kufanya downgrade na inampa ujumbe fulani ( Downgrade inagoma)
Unajua ukiwa mbali si rahisi kujua lakini kama Downgrade na upgrage ina impact inategemea anavyotaka Kuload hiyo CD ni katika state gani.
 
Zing naona mwenye Tatizo kakimbia.

Hili tatizo lipo na watu wengi wanakutana nalo.

One day nilitaka XP kwasababu nilikuwa natakiwa kuwa na Oracle 10g(hamna support ya Oracle 10g kwa win 7), so ikabidi nifanye fresh installation ya Win XP, kuna OS CD feki kitaa hazikukubali, nikapata Win XP original ikakubali.


Ukweli ni kuwa zipo cd za kitaa feki zinapiga mzigo pia.

Mwenye tatizo hasipo majibu maswali ni ngumu kumsaidia, kwani solurtion zipo nyingi.
 
Zing naona mwenye Tatizo kakimbia..............
Mwenye tatizo hasipo majibu maswali ni ngumu kumsaidia, kwani solurtion zipo nyingi.

Hapo umenena ndio maana comment ya mwanzo kuna sehemu niliandka hivi
.....Japo sijakupata vizuri unaposema inashinwa kuload una maanisha nini.........

Tatizo likaja wewe una experince fulani na ukataja scenario tofauti na mimi nikataja scenario nyingine ambayo pia nina experince nayo . Remote troubleshooting na support ni ngumu na kuna possibilitie nyingine amabzo umezigusia pia ndio maana mpaka hapa hatuwezi kusema tuna uhakika tatizo lake ni Fae XP CD, ni CD drive yenye tattizo . Ni yeye tu anakosea steps. Au mashine kwenye BIOS kaset priority ya kuboot kwenye CD iwe ni baada ya HDD.

Na mwisho wa siku huwa wanapotea kama hivyo ulivyoona
 
Hapo umenena ndio maana comment ya mwanzo kuna sehemu niliandka hivi


Tatizo likaja wewe una experince fulani na ukataja scenario tofauti na mimi nikataja scenario nyingine ambayo pia nina experince nayo . Remote troubleshooting na support ni ngumu na kuna possibilitie nyingine amabzo umezigusia pia ndio maana mpaka hapa hatuwezi kusema tuna uhakika tatizo lake ni Fae XP CD, ni CD drive yenye tattizo . Ni yeye tu anakosea steps. Au mashine kwenye BIOS kaset priority ya kuboot kwenye CD iwe ni baada ya HDD.

Na mwisho wa siku huwa wanapotea kama hivyo ulivyoona

Mkuu windo7 inakubali nimeambiwa kuna key zakuweka ndoikubali zote
 
Computer uliponunua ilikuwa na Windows gani?

Kumbuka kuwa computer nyingi zinazotoka sasa zina support Windows 7 pekee yake.

Pia Inawezekana windows xp yako sio Original so kuna drivers zina miss ndio maana haikubali.

Pia inawezekana hiyo CD/DVD yako haisomeki kwenye CD/DVD ROM ya computer yako.


Pia kwanini unataka XP kwa sasa?

Karibu.

ilikuwa na windows 7
 
Back
Top Bottom