ndisinzowa
Member
- Aug 18, 2010
- 86
- 14
Nina gf wangu,alinambia anakaribia kubleed na dalili za kubleed amezisikia yaan kama siku mbili zijazo atableed.tukaduu bila kinga,sasa ananambia ana mimba,je inawezekana kweli mimba ikawa yangu?.kwan navyo elewa akikaribia kubleed yai linakuwa limeharibika.je ni yangu au nimeibiwa hapa?